POPULARITY
Hi All. Here is the podcast of my 'In The Groove' show Starpoint Radio on Sunday 22nd December 2024and as its my last show of the year, its my now traditional 'Oldies' show with 2 hours of good grooves from the 1970s thru to the 2000s.. I hope it revives a few memories, or creates some new favourites for you.. wishing you all a very Merry Christmas and a Happy Healthy coming New Year, many thanks for all your support, likes, comments and listens, its really appreciated... take care and enjoy xPaul Stuart 'In The Groove' - Starpoint Radio - Sunday 22nd December 202401. Omar Ft Angie Stone - Be Thankful (Blaze Shrine Mix)(Spun/Studio Distribution 12" 2004)02. Bobby Womack - Trust Your Heart (Pieces LP - Columbia/CBS 1978)03. Colorblind - Crazy (Capitol 1984)04. Big Brooklyn Red - Taking It Too Far (Soul Brother 2012)05. Roy Ayers - Everybody (Uno Melodic 1983)06. Four Tops - I Just Can't Get You Out Of My Mind(ABC/Dunhill 1973)07. Dexter Wansel - Life On Mars (Life On Mars LP - Philadelphia Int 1976)08. Frankie Knuckles Ft Shelton Becton - Its Hard Sometimes (Virgin 12" 1991)09. Mellaa - Free (LARC 7" 1982)10. Luther Vandross - Shine (Epic 2006)11. Gang's Back - Love (Gang's Back LP - Handshake 1982)12. Donny Hathaway - This Christmas (Atlantic 1971)13. Rufus & Chaka Khan - I'm Dancing For Your Love (Masterjam LP - MCA 1979)14. Tashan - All I Ever Do (For The Sake Of Love LP - Sony Columbia 1993)15. Teena Marie - 365 (It Must Be Magic LP - Gordy 1981)16. Earth Wind & Fire - Love Music (CBS 1980)17. Maze Ft Frankie Beverly - The Look In Your Eyes (Joy & Pain LP - Capitol 1980)18. Ann Nesby - I Can't Explain It (Shanachie 2005)19. Ndugu & The Chocolate Jam Co - Come Into My Life Again (Do I Make You Feel Better LP - Epic 1980)20. Tom Browne - What's Going On (Browne Sugar LP - Arista GRP 1979)21. Brenda Russell - Hello People (Two Eyes LP - Warner Bros 1984)22. Leroy Hutson - Love Oh Love (Love Oh Love LP - Curtom 1973)23. Rose Royce - Best Love (Stronger Than Ever LP - Epic 1982)24. Amp Fiddler & Will Sessions - Lost Without You (Sessions Sounds 2017)25. Mystic Merlin - Mr Magician (Full Moon LP - Capitol 1982)26. Dunn & Bruce Street - Shout For Joy (Devaki 12" 1981)
Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, Je wajua kwamba wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa wapenzi wao au ndugu wa karibu, ikimaanisha kuwa mwanmake mmoja anauawa katika kila dakika 10. Na zaidi ya yote bara la Afrika linaongoza? Maudhui ya siku hii yanasema “Hakuna kisingizio” cha ukatili dhidi ya wanawake lama alioushuhudia Ester manusura kutoka Uganda, ambaye kwa miaka mingi amekuwa akifanyiwa ukatili na mpenzi wake anaema “Nilikuwa na umri wa miaka 15 aliponioa naye alikuwa na miaka 28wakati mwingine alikuwa akinivua nguo zote na kunilazimisha kukaa kwenye varandana nilikuwa nikichelewa kurudi ananitandika nje nyumba kila mtu kushuhudia Nilikuwa katika hali mbaya ya uchungu Mkubwa na kuvuja damu.”maadhimisho ya mwaka huu yanaambatana na ripoti iliyotolewa leo jijini New York, Marekani na mashirika ya Umoja wa Mataifa likiwemo lile la masuala ya wanawake, UN Women na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Dawa za kulevya na Uhalifu, (UNODC), inaangazia mwanga wa janga la mauaji ya wanawake na kutoa wito kwa hatua za dharura ili kukabili janga hilo.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres katika ujumbe wake wa siku hii inayoadhimishwa tarehe 25 mwezi Novemba kila mwaka, ikiashiria pia kuanza kwa siku 16 za kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake, zikiwa na kilele chake tarehe 10 mwezi Desemba, siku ya Haki za Binadamu duniani amesema “Janga la ukatili dhidi ya wanawake na wasichana linaaibisha ubindamu, dunia lazima iitikie wito huu. Tunahitaji hatua za dharura kwa ajili ya haki na uwajibikaji, na kusaidia uchechemuzi.”Mkurugenzi mtendaji wa UN Women Sima Bahous amesisitiza kuwa “Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana si kwamba hauepukiki, unaweza kuzuilika. Tunahitaji sheria thabiti, ukusanyaji bora wa takwimu, uwajibikaji zaidi wa serikali, utamaduni wa kutovumilia, na kuongezeka kwa ufadhili kwa mashirika ya kupigania haki za wanawake na taasisi. Tunapokaribia kuadhimisha miaka 30 ya Azimio la Beijing na Jukwaa la Utekelezaji mwaka 2025, ni wakati wa viongozi wa dunia kuungana na kuchukua hatua kwa haraka, kujitolea na kuelekeza rasilimali zinazohitajika kumaliza mgogoro huu mara moja na kwa wote”Mauaji ya wanawake yanavuka mipaka, hali ya kiuchumi na kijamii, utamaduni. Hata hivyo kiwango au ukubwa wake unatofautiana.Kwa mujibu wa ripoti hiyo, bara la Afrika lilivunja rekodi ya kuwa na viwango vya juu vya wanawake kuuawa na wapenzi wao au mwanafamilia. Wanawake 21,700 waliuawa Afrika mwaka huo wa 2023, ikifuatiwa na bara la Amerika na kisha Oshenia.Mashirika ya UN Women na…
Karibu uungane nami Esther Magai Hangu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Deodatus Katunzi Kagashe, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera, akiendelea kutufundisha juu ya msaada wa Binadamu kwa ndugu zetu Marehemu. L'articolo Fahamu msaada wa Binadamu kwa ndugu zetu Marehemu. proviene da Radio Maria.
Denkt Herr Schmidt, dass er die Patenschaft für Ndugu in Afrika übernommen hat. Was er durch sein Patenkind erfährt, hören Sie hier.
Ungana na Martin Joseph katika kipindi cha Elimu Jamii, Wawezeshaji Padre Isidory Tarimo, kutoka Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea, pamoja na naye Padre Abraham Nestory (OFM conv) Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Clara Mongola Ndege, Shirika la Ndugu wa Wadogo wa Fransisko wa Konventual,mada nii Miito. L'articolo Je, Wafahamu namna ya kupata Wito? proviene da Radio Maria.
In this episode, while reviewing the original Union Contracts, we discuss how "Billie Jean” was recorded with the late great Ndugu on drums, Louis Johnson on bass, Greg Phillinganes on keys and the live string section performed at Allen Sides great Ocean Way studio.Support this podcast at — https://redcircle.com/stories-in-the-room/donationsAdvertising Inquiries: https://redcircle.com/brandsPrivacy & Opt-Out: https://redcircle.com/privacy
Ungana na Padre Gidioni Kitamboya, Mwanashirika la Ndugu wa dogo wa wakapuchini kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hemba,Jimbo kuu la Dodoma, katika kipindi cha Tafakari ya Bikira Maria, mada inayozungumziwa ni Ibada ya Moyo safi Mama Bikira Maria
ungana na Mtangazji Frank Kashonde katika kipindi cha Fahamu wito wako, kinacho zungumzia maswala tofauti juu ya wito, mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi wa Shirika la Ndugu wa dogo Francisko wa kapuchini , (OFM,Cup) kutoka Jimbo katoliki la Moshi.
4/23/23/ First hour Drumming; Second hour Dr Khan, Third hour Mama YeYe Sacred Wisdom About – ChiKungYourHealth Contact: DRNKChiKung@gmail.com Dr Khan breathing for health: can teach you to initiate with your breathing, implement with stretching, create through movement, virtually inner peace. Just by listening and breathing you can reduce, tension, improve your sleep and potentially add years on to your life.
Mfaume Mfaume ni yule mwana ambaye akitokea sehemu ni sahihi kwako kuwaambia wahusika kwamba jamani, mwamba huyu hapa! Muonekano wake pekee unamfanya mtu ajue yuko kwenye presence na mtu maalum na baadae ukishajua hasa nini anafanya basi huwezi ku doubt yote ambayo utaambiwa juu yake lakini kubwa zaidi ukipata sasa nafasi ya kumuona anapokua kazini kwake hapo ndo utakaposhia kumpa nyota zake zote anazostahili kama bondia. Tena popote pale, iwe akiwa gym au ulingoni ambapo kadhaa washachezea shurba kutoka kwake. Mfaume ni kama wengi wetu ambao tumetokea katika familia za kawaida tu ambayo malengo ya wazazi wetu kwetu ni kuhakikisha unasoma ili uweze kupata kazi nzuri na uje uwasaidie wao na Ndugu zako utakapokua mkubwa, vile vile mambo ya michezo ni kawaida maana kama mtoto unapokua unakua shuleni na mtaani ni lazima kunakua na kucheza, chochote ambacho kiko mbele lakini zaidi huwa ni mpira wa miguu kwa Kaka zetu ingawa sasa dunia imebadilika kiasi, siku hizi hata watoto wa kike kucheza soka ni jambo la kawaida tu na kwa hilo napenda sana. So kwa Mfaume ni kama kwetu wengine tu, alianza kwa kucheza mpira lakini baadae interest yake ikatoka kutoka kwenye mpira na kuhamia kwenye ngumi, kwa wazazi wake huo ulikua mitihani hasa. Kwa mzazi kukuona mtoto wake akichezea vitasa mara kwa mara haliwezi kuwa jambo la kupokelewa kwa mikono miwili ndani ya nyumba, mtoto anarudi nyumbani kutoka kujifua nae anakua kafuliwa kwelikweli au akijua kwamba una pambano na mwamba flani aliye shindikana ndo hofu inapanda mpaka juu ya dari na inaeleweka kwanini inakua hivyo na kama mpaka sasa hujaelewa au hujaipatia picha basi mwenzetu huna moyo lol. Alinipa story moja kwenye maogezi yetu haya kuhusu Mama yake, ananiambia kuna wakati alikua na mechi na bondia ambaye alikua anaongea sana, anajisifia na kumtishia sana maisha yake, kwamba atamchakaza vibaya sana tena mbele ya Mama yake, na aliyasema hayo akijua fika Mfaume huwa anaenda na Bi Mkubwa wake kwenye fight zake zote za ndani, ananiambia Mama yake aliogopa sana, alimsihi sana lakini kwa jitihada zake na maguvu ya Allah aliweza kumaliza mchezo wake huo vizuri tu. Mabondia ni watu ambao wana roho za kipekee sana, unaweza ukamkuta mtu akiwa uliongoni anatoa dozi nzito kwa mpinzani wake ukadhani ni mtu mwenye roho mbaya sana, lakini ukimkuta nje ya ulingo na kwa watu wake utajua ni mtu wa aina nyengine kabisa. Kwa bahati nzuri nna marafiki ambao wanacheza mchezo huu wa boxing ikiwa pamoja na Mfaume mwenyewe, huwa ni watu wakarimu sana na wana mapenzi ya kweli lakini akiwa uliongoni anakua mtu mwengine kabisa, nadhani hiyo ndo tofauti ya masumbwi na michezo mengine. Yangu matumaini uta enjoy session yetu hii ya mwisho ya msimu huu na mwana huyo humble kutoka kitaa, na pia kama kawaida utaokota mawili matatu ambayo yatakusogeza sehemu. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Kwenye jiji la ‘Maraha' hapa nyumbani kwetu Tanzania ambayo kwa miaka ya hivi karibuni sehemu za starehe zimekua tele na kila mmoja ana uwezo wa kula bata zake vizuri tu kulingana na urefu wa mfuko wake basi hakuna ambaye HAJUI jina la DJ huyu mahiri ambaye kwa ubunifu wake ameweza sana kubadilisha kabisa jinsi ambavyo wenzake walomtangulia walikua wanafanya. Yaani Ally alikichukua kitabu cha jinsi ya kutoa burudani kama DJ na kukichanachana na kisha akaanza kuandika cha kwake, ambacho mpaka tunaenda mtamboni kiiila msomaji wake anapeeenda ambayo yameandikwa na ambayo anaendelea kuyaandika. Wakati msimu huu unaanza Ally Bee hakua moja ya majina ambayo yalikua yameandikwa kama mmoja ya watu ambao tungependa kujua story ya maisha yake, kutaka kujua nini kinampa hamasa ya kufanya ambacho anafanya na pengine mambo mengine tele ambayo atakua na uhuru wa ku share na sisi. Ila kuna siku nilikua nyumbani na Rafiki yangu ambaye pia ni mdogo wangu Ndugu Sadam Almando Sanare ambaye nilikua namuuliza maswali kuhusu Dj mwengine kabisa huku nikilalamika kuhusu huyo mtu kwamba pengine kuna jambo haliko sawa kuhusu simulizi zake za baadhi ya mambo maana amekua kama anaongelea sana skuizi, then yeye akaniambia kuhusu Ally Bee (binafsi hupenda kumuita Ally Bee kwasababu wote tunamjua nyuki, na ukali wake lakini asali yake sote ndo kama hivyo, hopefully it will make sense kwake someday
Mrisho Halfani Ngassa alikua top top top footballer na kwa bahati nzuri nishawahi kumshuhudia akiwa kazini kwake, tena ukimkuta kaamka vizuri basi uhakika wa burudani ni UHAKIKA . Na kipindi ambacho alikua kwenye peak yake pia kulikua na vitasa imara na magolkipa wazuri tu lakini nna uhakika kila mmoja kati yao ana la kusema kuhusu winga na forward hii machachari ambayo nchi yetu ishawahi kuona. Hakuna kitasa ambacho hakijawahi kukataa kufungua mlango muda ambao Mrisho Ngassa alikua anakuja kupiga hodi. Uzuri wake alianza kucheza mapema sana na kwasababu alikua machachari basi hata utulivu kidogo wakati anakua ulikua sio mzuri sana maana alikua na haraka. Ananiambia kwenye session hii vile ambavyo ali sign Yanga pasi na kumskiliza kocha wake kutoka Mwanza ambaye alikua anaamini kama dogo bado hajaiva, Pengine miaka miwili au mitatu ya kuendelea kujijenga ingemfanya awe bora zaidi na zaidi lakini kwenye kichwa na fikra za kijana huyu ambaye alikua na uchu wa mafanikio na kutaka kufika mjini maongezi hayo ya kusubiri yalikua ni kama kumuona sisimizi kwenye sukari alafu unamuambia asile leo badala yake ataila asubuhi, isingewezekana. Hivyo kocha akaona basi si mbaya, aende akayaone na kujifunza akiwa kazini. Yanga ndo Yanga, kwa wachezaji wote wanao chipukia au ambao ndo wanatafuta maisha kuichezea klabu kama ya wananchi ni heshima kubwa sana na zaidi kama wao ndo wametaka iwe hivyo. Kwa kijana mdogo ambaye alikua na spidi na uchu mkubwa wa kuzitia nyavuni basi klabuni pale ndo ilikua steji muafaka ya kuonyesha kipaji chake. Mrisho anakumbuka aina ya ‘vifaa' ambavyo vilikua vinapatikana mitaa ya Jangwani. Majina makubwa na kazi ilotukuka ambayo walikua wakiifanya ilikua inajielezea. Kwa kijana kutoka mkoani kuweza kupata namba haikua kazi rahisi, ila pia haikua kazi ngumu maana ulichokisia ndo ambacho unakiona, kuanzia mazoezini mpaka anapopatiwa nafasi wakati wa mechi. Kwenye episode hii tunazungumzia aina ya mitihani na maamuzi ambayo ilikua inabidi yafanyike. Kwenye wasifu wake Mrisho amewahi kucheza kwenye team zote tatu kubwa hapa nyumbani kwetu. Kashawahi kuwa muajiriwa wa Yanga, Azam na Simba ambapo alienda kwa mkopo kutoka Azam FC, lakini pia ashawahi kupatiwa majaribio katika team kadhaa nje ya nchi yetu na wakubwa wanasema kama Ndugu yetu angekua katuliza akili na angefahamu aina ya nafasi ambayo alikua nayo kipindi kile basi yeye ndo angekua mtanzania wa kwanza kucheza kwenye ligi pendwa ya Uingereza. Trials kwenye klabu kama Westham alipata na ofa kwenye vilabu kadhaa kutoka hapa hapa barani Afrika nazo zilikua hazikati. Sasa, nini haswa kilitokea? Wapi hasa alienda mrama? Ni kweli alikosea? Au malengo yake si malengo yetu? Au tulipokua tunamuona sisi yeye alikua hapaoni huko? Vikwazo vilikua nini? Mambo yepi hasa ndo ambayo yanaweza yakawa ndo chachu ya hayo yote kutotokea? Kama Mrisho angekua anawez kufunguka zaidi nami kwenye episode hii naamini tungeweza kupata funzo lilonyooka kwa wenetu na ukichukulia sasa mambo ndo yameanza kufunguka. Naamini angekua mwalimu mzuri kwa wake wote ambao wangetaka kusoma somo ambalo lina uhitaji mkubwa. Yangu matumaini utaweza kuelewa na kupata chochote kitu kutoka kwenye maongezi haya. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Jina MC Gara B ni miungoni mwa majina makubwa sana kwenye ulimwengu wa kazi ambayo mwenzetu huyu amechagua kuifanya. Familia yake, mke na watoto, wazazi wake na wa mkewe pengine, Ndugu jamaa na marafiki na waajiriwa wake wanakula vizuri kwasababu ya kipaji chake Ndugu yetu huyu. Ni mwanaume ambaye akiwa kazini kwake furaha na burudani ambayo huwapa wateja wake ndo inayomfanya azidi kuenda mbali kwenye tasnia hiyo ya ushereheshaji. Again, yeye ni mmoja ya BORA kadhaa ambao wanafanya kazi kama yake. Mtandao wa kijamii ni kitu kimoja chenye nguvu sana kwenye miaka ya hivi karibuni, kwa ushahidi tulonao tushawaona wengi ‘wakitoboa' kwasababu ya Instagram au sehemu nyengine. Mitandao iko mingi na kila mmoja na tobo lake la kufikia mjini. Kazi ambayo MC huyu huifanya yeye huenda na team yake kuiweka vizuri kisha ana post kwenye page yake yenye watu karibia MILIONI MOJA NA NUSU. Akizifikisha mjini kazi hizo wengi huvutiwa nazo na ambao wanakua wana shughuli nao bila ya shaka watamtafuta na kutaka kufanya nae kazi. Ubunifu wake ni wa kipekee kutokana na vingi na wengi ambao tumekua tukiwaona kwa miaka mingi sasa. Mtandao wa kijamii umemsaidia na unaendelea kumfanya awe bora zaidi ya jana. Sasa, shughuli hii anayo ifanya ndo ambayo ilikua ndoto zake? Pengine alikua huku anamuona mtu fulani akiwa anaifanya hii kazi kwa ufanisi na ikamvutia? Ilikuaje mpaka akaingia huko? Kwa kumtizama haraka haraka tu utagundua Ndugu yetu ni MCHESHI, yeye anapenda kucheka na kuongea, ingawa hapo kwenye kuongea nako sio kiviiiile ila ni mtafutaji ambaye AMETIMIA. Story yake alotupa kwenye episode hii inajumuisha yeye kufanya kazi zaidi ya mbili kwenye kipindi flani hivi cha maisha yake ili aweze kuishi vizuri. Ki professional mwenzetu ni MWALIMU, ambaye hiyo kazi aliifanya hasa, na akaijumlisha na kazi ya huduma kwa wateja pale Tigo na wakati huo huo akawa anafanya kazi kwenye kiwanda kimoja hivi huko Pugu Road, hakua na wa kumdekea wala kumsubiria na hustle yake hiyo ndo ambayo anaenda nayo mpaka leo kwenye maisha yake. Sasa kama Baba na mume kwa mkewe kipenzi ambaye naye alikutana nae sehemu ya kazi yake, Gara B ananijibu kuhusu uaminifu ambao anao kwa mkewe ambaye kwa mujibu wangu kama amekutana nae kwenye mazingira hayo, vipi hujiskia kila mara anapokua kazini mumewe ukichukulia huko ndipo walipo kutana na ndo ambapo wanawake wengi wazuri huwepo? Jibu lake lilikua na kuukonga moyo. Alituhadhia pia kuhusu wazazi wake na jinsi ambayo ameweza kujitengenezea jina, siku ya kwanza alipopata kimeo cha ku host harusi ya watu ambayo kwa mujibu wake aliibembeleza sana na hakua amepewa nafasi, ila nafasi ilipojileta akanyoosha kwa umbali mrefu mpaka mengine yamebaki story tu. Na hii ndo ilikua simulizi yangu bora kabisa kuhusu kupata nafasi na kuzitumia vyema. Yangu matumaini utaskiliza na kuangalia kwa makini maana humu anatupa simulizi zote za kutokata tamaa na jinsi ya kuchukua nafasi, ila pia anatuhadithia baadhi ya mitihani ambayo huja na umaarufu pia na jinsi ya kupambana nayo. Mimi nili enjoy na natumai itakua hivyo kwako pia. Happy Holidays. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Mac anapiga makelele kuhusu MAREKANI, Ndugu na Mahusiano!
Pengine jina la episode hii linaweza likakupa muangaza kidogo wa story fupi ya maisha ya mgeni wetu wa wiki hii kwenye kiti chetu chakavu na meza ya kigae ambaye leo hii tayari kashaona, tochi ya maisha kwake inamulika tu vizuri na mbele anapaona. Huyu ni Walter Chilambo ambaye miaka tuseme 14 iliyopita alikua hana uhakika wa chakula chake cha siku tu achana na sehemu gani atalala. Ruka ruka ya kule na huku na bahati ya kupendwa alonayo na ambayo inaendelea mpaka leo naamini inakuja kwasababu ya ukarimu wake na hii ndo silaha yake yenye makali ambayo inampeleka mbali mpaka leo hii. Kama mtoto wa kiume ambaye unatakiwa kwenda kujitafuta ki maisha Walter nae ilibidi afanye yale yale ambayo si watoto wa kiume tu ila wengi wetu tumefanya ya kutaka kwenda kutafuta chako, na yeye aliona basi bora afanye hivyo. Safari ya kuja town kutoka mkoani anatuhadithia kwa upana kwenye episode hii. Mtu ambaye alimpokea ni mwana tu ambaye alienda nae shule moja, stop ya kwanza? Keko Magurumbasi. Na si kwamba alikua hana Ndugu hapa Dar es Salaam yeye alijiamulia isiwe hivyo, ilikua ngumu kumshashiwi Mama yake ambaye alitaka kujua ramani nzima ya mwanae ambaye alikua anakuja mjini kwa mara ya kwanza. Baada ya kufanikiwa kushawishi Mama Walter, kijana alipewa nauli na ananiambia by the time anafika Dar alikua na shilingi ELFU MOJA TU kwenye mfuko wake, hapo ni Ubungo kwenye stendi ya mkoa. Imani yake kwa Mungu wake pia ni silaha ya pili ya Ndugu Walter Chilambo. Hii ndo ambayo kwa mujibu wake imemsaidia kumvusha na mengi, maisha huko Keko hayakua mazuri, sikutaka kutumia neno si kama alivyo yatarajia maana hata yeye hakua na matarajio yoyote kwasababu alikua hajui anakutana na mazingira gani wakati anaenda kwa mwanae huyu aliyesoma nae Sekondari ambaye walikua na majina ya Baba yanayofanana. Mwenzetu anaitwa Michael. Alikaa pale huku akiwa anajaribu kuji tafuta ila kila anachogusa kilikua cha moto. Ananihadithia jinsi alivyoanza kufanya kazi za kila siku ili angalau apate hela ya kula, kule kwa Mama alikua anajifanya kama kila kitu kinaenda vizuri kwahiyo hata vimzinga vidogo vidogo vilikua haviendi. Ulipofika wakati wa yeye na mwanae Michael kufunguana mashati maana alikua ashakaa saana na hana dira nzuri hapo sasa ndo kila kitu kilianzia. Unadhani mmoja anaweza kuwa na bahati kiasi gani kwamba mtu ambaye aliombwa amhifadhi kwenye ghetto lake wakati yeye anatafuta ustaarabu mwengine kuwa ni Ndugu yake? Pengine hii hutokea kwa wenye BAHATI TU, pengine Walter ni mmoja ya watu hao maana baada ya kujulikana hilo ndo angalau kukawa na ahueni ya kuwa na uhakika wa sehemu ya kuegesha mbavu, hii ni moja ya sehemu ilonisisimua kwenye simulizi yake, imagine mtu anavyokua kapigika alafu kutoka ambako hakujulikani mtu ambaye ameombwa akuhifadhi kwa muda anatokea kuwa ni Ndugu yako, hii ni Mwenyezi Mungu pekee ndo ambaye anaweza KUTENDA na kama utakua ushawahi kuishi kama ndege ambaye hajui analala wapi basi wewe utaweza kuelewa zaidi hapa. Walter Chilambo ni mshindi wa Bongo Star Search wa mwaka 2012 na baada ya kushinda alianza safari yake ya muziki rasmi. Safari yake haikua ya urahisi kama ambavyo naamini alitarajia au sote tulidhani. Kiwanda cha Bongo Flava ki usalama tunaweza kusema kina wenyewe na ukiwa mpya kabla hujajua fagio lipi ndo linafaa kusafishia wapi basi kazi utakua nayo. Kwa Bwana Chilambo ambaye alishinda taji na pesa hakukua na tofauti kabisa. Neema kwa upande wake ilianza kuonekana baada ya yeye kuamua kufanya mziki wa kumtukuza Mungu na baada ya hapo mengine ni story tu. Kwahiyo NINI hasa kilimfanya afanye maamuzi hayo? Kwenye kipindi ambacho kila mmoja ameamua kuimba nyimbo za mambo ya kitandani na mambo ya ndani je yeye kwanini aliamua kubadilisha gea? Maana Kama sauti anayo na kuandika anajua sasa sababu ni nini? Na pia wasiwasi wangu uko kwenye baada ya ‘kutoboa' huko aliko na kupata umaarufu na sifa tele hatorudi tena huku kwenye kuimba nyimbo za kuachwa na kupendwa na kutendwa? Ana uhakika kiasi gani? Ukichukulia kama k --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Nimeandaa mjumuisho wa mambo niliyojifunza kwenye #DevFestNairobi na hamasa niliyopata na hivyo nimeona vyema niweze kukushirikisha wenzetu walipo ili nasi tupate kupiga hatua zaidi.Ndugu yangu, sikuwahi kujua event ya developers kuwa na wahudhuliaji zaidi ya 3000, vyombo kuletwa na kontena la 40 futi. Yaani nina mengi kukubadilisha mtazamo lakini nikaelewa ndio maana makampuni makubwa ya TEHAMA duniani yana ofisi Kenya.DevFestDar RSVP: http://zipa.me/devfestdar Be a Speaker: https://sessionize.com/devfest-dar-es-salaam
Ushawahi kuwa na mtu ambaye mnafahamiana vizuri miaka nenda na miaka rudi na hata pengine kwa u busy wa maisha zikapita siku hamjaongea lakini unajua yuko sawa yeye na Familia yake na mambo yanaenda vizuri, na kama isingekua hivyo basi ungekua ushajua? Ambaye unajua kukiwa na situation flani basi yeye anatafanya jambo flani na kuzima au kuwasha moto, na kama kuna neno umeambiwa kasema unajua kabisa ni kweli au si kweli? Au kama una suala unataka kulifahamu vizuri linalohusu mambo fulani na jibu ambalo atakupa yeye ni la 100 na hatapindisha hata kidogo? Basi huyo ni Carol Moses Ndosi kwa Salama Jabir yangu. Lini tulikutana? Yoh
Hii nayo ni moja ya zile ambazo ziliuliziwa sana na kwa muda mrefu nasi kwa upande wetu tumekua tukiifukuzia tuweze kukaa na mwamba huyu hodari kutoka Zanzibar. Mimi mwenyewe ambaye nimekua nikifanya kazi kwenye kiwanda hiki cha burudani nilikua na hamu ya siku moja kuwa kwenye meza moja na Ndugu yangu huyu, kuweza kumtazama usoni na kumuuliza yote ambayo nilikua nataka kumuuliza kwa kipindi kirefu sana. Maana hata mimi nimekua nikimsikiliza miaka nenda miaka rudi na siku zote emeemdelea kutuhabarisha kwa sauti ile ile na spidi ile ile. Ukiskia mtu ameweza kuwa bora toka siku ya kwanza basi moja ya mifano hai ni Farouk Kareem wa ITV na Radio One. Nikiwa mzanzibari wa kuzaliwa, Farouk amekua ni moja ya watu ambao nimekua nikiwaskiliza na kuwaheshimu sana. Mchango wake kwenye tasnia ya uwandishi wa habari na kuziripoti habari hizo Taifa zima unalijua, toka enzi zile za kipindi cha Spoti Leo cha Radio One ambacho yeye alikua alishiriki kama reporter kutoka Zanzibar na baadae na yeye akajiingiza katika kinyang'anyiro cha kugombea nafasi ya uongozi kwenye Chama cha Mpira cha Zanzibar yaani ZFA na akapata na katika watu ambao walipiga kazi iliyo TUKUKA enzi hizo na ambayo iliacha alama basi Farouk ni mmoja wapo. Nani aatasahau kama moja ya idea zake ilikua ile ya kutaka Zanzibar iwe na kiti chake kwenye Shirika la Mpira la Afrika na la Dunia yaani CEFAFA na FIFA. Farouk Kareem alikua ndo injinia wa kutaka hilo LIWEZEKANE. Mtoto wa kwanza kwenye familia ya watoto wawili tu na wote wa kiume, Farouk Karim ni Kaka wa mmoja kati ya ma Pilot hodari na wa muda mrefu ambao hii nchi imeshawahi kuona ambaye na yeye sasa ana mtoto pia ambaye naye ni Rubani. Kaka huyo Kapten Arif Jinnah na mwanawe First Officer Amour Arif. Ki ufupi familia yao imejaa watu wa kazi kabisa. Naamini si wengi ambao tulikua tunayajua mahusiano hayo ya wawili hawa ambao kila mmoja wao amekua akiandika historia yake kwa upande wake. Farouk ni Baba wa watoto kadhaa wa Kike ila miaka si mingi sana Allah pia nae kampa mtoto wa kiume. Kwenye episode hii tumezungumzia familia na majukumu, tumezungumzia jinsi mmoja anavyoweza kutafuta kwa njia zake na wazazi nao wakitoa baraka zao basi hakuna ambalo linaweza kushindikana kama tu nia na madhumuni yapo. Anakumbuka jinsi ambavyo alimaliza skuli na kisha akawaambia wazazi wake kwamba yeye anataka kuwa BAHARIA na wao WAKARIDHIA. Anasema kipindi hiko kulikua na wimbi la ma Seaman tele ambao walikua wakirudi likizo nyumbani Zanzibar wanakua wako ‘vizuri sana' na hiyo ni moja ya mambo ambayo yalimvutia sana. Na wazazi wake waliridhia na kuhakikisha kijana wao anatimiza ndoto zake kwa kumuwezesha. So, kwenye habari nako alifikaje? Hii ni moja ya episode nzuri sana ambazo nimewahi kufanya msimu huu na yangu matumaini nawe uta enjoy kama ambavyo sisi tuliburudika wakati wa mahojioani haya. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Kipindi cha nyuma kidogo nilifanya lile ambalo huwa nafanya la kuwashirikisha rafiki zangu na team kuhusu list ya watu ambao wangependa kuwaona kwenye kiti chetu chakavu na sababu za kwanini hasa waje kwenye meza ile yenye kigae kwa juu maana tukisema tutaje majina tu bila ya sababu thabit za wao kuja pale tunaweza tukaondoa maana yenyewe ya kuwa na watu wenye story za kuvutia na kutufunza kama ambavyo tumekua tukifanya. Jina la mgeni wetu huyu lililetwa kwangu na Michael (Mx) Mlingwa na Ndugu yangu Elbogast Myaluko ndo alinipatia mawasiliano naye na kuanzia hapo mengine yamebaki kukhadithiwa kama hivi. Sikua namfahamu Mchungaji Richard Hananja mpaka Michael alipo niambia nami nikachukua muda wangu wa kwenda kufanya ka research kangu kabla hajaja mezani, ambacho nilijifunza ni kwamba Mchungaji alikua ni mtu mashuhuri sana ambaye ana watu wengi sana pia wanao mskiliza. Ilinichukua takriban miezi miwili kuweza kumpata maana kila weekend (mara nyingi rekodi za kipindi huwa zinafanyika weekend) yeye huwa yuko safarini. Huitwa sana sehemu mbali mbali, na sasa Serikali nayo imekua ikimuita pia katika matamasha na mikutano mbalimbali. Kwahiyo mara utamsikia yuko Dodoma, mara Moshi, mara Iringa ilimradi yuko busy. Na wakati mwengine Jumapili yake inakua ya yeye kualikwa kwenye Makanisa mbalimbali ili akatoe neno, siku hizi yeye ameshastaafu kuhubiri kanisani na sasa zilizobaki ni hizo za mialiko maalum. Kama kawaida mimi na wenzangu tulitaka kuanza kwa kumfahamu mgeni wetu maana kama nilivyokuambia hapo awali mimi sikua namfahamu zaidi tu ya kumuona kwenye mitandao akimwaga cheche, tulianzia kwenye kuzaliwa kwake na kukua kwake, mitihani mbalimbali ya ujana, bishara na kazi ambazo ashawahi fanya, na wakati naandika hii nimejifunza pia kuwa Mchungaji hana ambalo anaongeza chumvi maana baada ya sisi kufanya nae maongezi haya, nimeona ameenda sehemu tofauti tofauti na story yake haijawahi kubadilika. Ujasiri wa ziada huhitajika ili tuweze kufanikiwa kwenye maisha yetu na pia kuwa kwenye mstari ili usiingie kwenye matatizo na vyombo vya sheria. Mchungaji ananiambia jinsi ambavyo alikua ana hustle kila kona, kusafiri bila ya kibali cha kuvuka mipaka ya nchi na boxing ambayo aliifanya kwenye kipindi flani kwenye maisha yake. Boxing imemuachia kovu ambalo kila siku linamkubusha mapambano ambayo ameshawahi kuyafanya kwenye maisha yake. Boxing pia ndo ambayo imemfanya awe na discipline ya hali ya juu. Kwenye maisha yake ya sasa Mchungaji Hananja anatoa nafasi kwa kila aliye kata tamaa au ambae watu wamemkatia tamaa, yeye ndo huwachukua hao na kuwapa nafasi nyengine kwenye maisha yao, na amini usiamini wengi wao hunyooka na kuanza upya. Kwenye nyumba yake huko Madale Mchungaji anafanya mambo mengi ikiwa pamoja na kilimo na ufugaji. Swali langu lilianza kwa kutaka kujua hizo pesa za yeye kuweza kufanya mambo yote hayo, huwa zinatoka wapi? Mchungaji Hananja ni MUME, na kwa mujibu wa maelezo yake, alichelewa saana kuoa na mkewe ni Rafiki yake wa kwanza. Yangu matumaini moja mbili tulizopiga humu zitakupeleka sehemu. Tafadhali enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
Evarist Mapunda ni moja wa makocha wangu wa maisha haya ninayoishi sasa hivi, ananifahamu toka nikiwa na miaka 17 mpaka sasa hivi ingawa hapa katikati baada ya ‘kuwa mkubwa' nilipoteana nae kwenye mahangaiko ya kujitafuta na kutafuta maisha. Ila Mimi na yeye tunajua kila mmoja wetu ni mtu wa aina gani na anamaanisha NINI kwa mwengine. Ukiwauliza watoto na wakubwa wengi wa Upanga watakuambia nini yeye pia anamaanisha kwenye maisha yao, lazima atakua na simulizi kuhusu mwalimu huyu hodari wa basketball na maisha, kama hadithi hiyo itakua haimhusu yeye directly badi itakua inamhusu Ndugu yake au mtoto wake au hata rafiki yake, na kama itakua hana hao wote basi hata ya kusikia atakua nayo. Coach Evarist ni mmoja ya watu ambao wamesaidia kwa kiasi kikubwa mno vijana wa miaka ya 2000 kuwa na HESHIMA ya maisha, Heshima ya kazi na miili yao, kama umepita kwenye mikono yake basi utakua unajua hilo. Na kama ule usemi wa Kiswahili unaosema ‘majuto ni mjukuu' basi ndo faida za yale alotufundisha sisi tunayaona. Tunayaona baada ya kukua maana wakati anatufundisha heshima ya muda na drills ngumu za basketball tulikua tunaona anatuonea sana sana. Binafsi nilikua naona hivyo, nilikua naona kama hanipendi maana kila mara yuko kwenye shingo yangu kuniambia lipi sijafanya vizuri. Sasa hivi nikikaa na kujiuliza kipi hasa kilinifanya nihame Pazi na kwenda kucheza basketball yangu Don Bosco ukiachana na kwamba rafiki zangu wengi walikua kule sasa ndo jibu linakuja kwamba Coach Evarist naye alichangia kwa kiasi kikubwa mimi kuamua hilo. Alikua kijana, mwenye kuujua mchezo na Don Bosco Queens ilikua ni moja ya team BORA zaidi za wasichana kuwahi kutokea miaka hiyo. Wengi wao nilikua aidha nimesoma nao Makongo au nimeenda nao Umiseta mara kadhaa kwahiyo maamuzi yangu hayakua ya kuwaza sana ingawa Pazi ndo ilikua nyumbani kwetu na itaendelea kuwa hivyo. Coach Evarist pia ashawahi kukutana na mitihani kadhaa mikubwa katika maisha yake, ingawa wa yeye kupata ajali mbaya ya gari mwanzoni mwa miaka ya 2000 itaendelea kusimama kuwa mtihani mkubwa zaidi ambao amewahi kukabiliana nao, ukiachana na fainali tele ambazo yeye kama mchezaji au kocha ambazo zilikua dhidi ya timu ngumu na akawahi kushinda, huu ulikua wa aina tofauti sana. Alikua peke yake usiku wa manane wakati anaenda zake nyumbani baada ya kumaliza majukumu yake aliyojiongezea ya basketball ndo mtihani huo ulipomkuta, Coach Evarist anakumbuka idadi ya watu ambao walimzunguka na kumpiga vibaya baada ya ajali hiyo. Mungu pekee ndo anajua alimuokoa okoa vipi katika lile na kwenye operesheni zake zaidi ya kumi na tano ambazo amezifanya mpaka sasa hivi zinamfanya aishi na kwanini haya yote yametokea. Coach Evarist ni muaminifu na mwingi wa imani, mpaka leo hii anaendelea kuishi maisha yake kama hakuna ambalo limemtokea na kubadilisha maisha na muonekano wake kwa maisha yake yote. Yule ambaye anakua na moyo kama ambao Coach Evarist anao pekee ndiye anayeweza kuishi kama ambavyo yeye anaishi. Ndo maana yeye ni wa kipekee sana. Yangu matumaini maongezi yetu juu ya heshima na mustakabali wa mpira wetu wa kikapu na heshima juu ya mambo kadhaa yatakuvutia na kukufunza kitu. Yangu matumaini pia uta enjoy. Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
All Of The Above (AOTA) Radio - A Journey through High Quality Music
So much music, so much to be missed. We recognize his pioneering work with Patrice Rushen or NDugu or his mentorship to Kamasi, Tyrese & Thundercat or his contribution to the formation of The Pharcyde. Not to mention writing and producing one of the most banging 80s funk tracks ever – Let It Whip byREAD MORE
Agosti 13 ni siku ya majonzi yasiyo elezeka, kwa jamii ya wanyamulenge kote duniani.
Ushawahi kukutana na wale watu ambao wao ni wa pole tu sana na wanajipenda tu sana ila hawana tu muda wa kuringa au kuji mwabafy kwasababu wao wako talented au wana kipawa kutoka kwa Allah na wanajua? Well mi nishawahi kukutana na watu kama hao na mmoja wao ni mgeni wetu RASMI wa wiki hii ya episode ya sita ya SalamaNa msimu huu. Anaongea kwa utaratibu na kujua kile atakacho, anakipataje na akisha kipata atafanya nacho nini. Huyo sasa ndo mwanangu Mtani Nyamakababi, aka Mtani Beskope. Kijana wa ki Tanzania mwenye kuelewa somo la leo na ukiachana na mitihani ambayo anakua anaipatia na mara nyingi huwa anafaulu kwa masksi za juu sana, kama daraja basi lake huwa ni la kwanza kabisa! Ufahamu wake na kujiongeza kwake kwenye knowledge na udambwi dambwi kwenye yale ayafanyayo kwa hakika ndo kunamfanya awe trend setter na wengine ambao wanafanya kazi kama ambayo yeye anafanya wabakie kumuona kama Role Model, naamini kwa kiasi kikubwa haata yeye bado hajioni kama Role Model maana safari yake ya kufika kule anapo pataka na kupaota ndo kwanza imeanza kustawi. Miaka 30 ya umri mwaka huu wa 2022 bila ya shaka ni mwaka mkubwa kwake, ukiwa mtoto wa kiume na tegemeo la familia kufikisha miaka 30 ni jambo kubwa, hasa ukiwa hujaoa na una ramani ya maisha kama alo nayo yeye bila ya shaka utakua na mipango mingi, mengine yanawezekana na mengine ni kwa Rehema za Mwenyezi Mungu zaidi. Najua yeye anajua kama Mzee na Mama wanataka kumuona kijana wao akiwaletea wajukuu na I hope wazazi wake hawato subiri kwa kipindi kirefu kama ambacho Mama yangu mimi ameendelea kungoja . Yeye tayari yuko kwenye mahusiano ya kueleweka tu na ambayo yanaonekana yanaelekea mahali pazuri kwa mujibu wa maongezi yetu haya. Kama binadamu wa kawaida of course alishawahi kuumizwa kwa uongo na kutokua na uaminifu kwenye mahusiano ila hilo halikuwahi kumrudisha nyuma kwa kuamini huyo alonaye sasa ni wake na anamfaa sana, anamsaidia sana na anamuongoza sana, vitu kama hivi mmoja huhitaji kuskia, hasa yule ambaye tochi yake imefifia mwanga, mwangaza wa mapenzi. Anamkubali sana yule anaye share nae siri zake na struggle zake na ushindi wake mwingi na hata frustrations zake. Na anajua pia kama kuna kupanda na ku shuka kwenye mahusiano na maisha kwa ujumla. Kwenye meza yetu kulikua na maongezi kuhusu wazazi wake na principle zao za maisha, mdogo wake… Biashara zake na ushindani, mapenzi na uaminifu. Urafiki, ku shinda na kushindwa na pia maoni yake zaidi kwenye vitu mbali mbali ambavyo vinahusu ambayo anafanya na vile ambavyo amekua akitamani kuvifanya. Wapi anajiona baada ya miaka 5 mengine? Well… Hatukuongelea masuala ya hela maana najua hiyo ingemfanya asiwe huru mbele yetu maana mambo kama hayo yanahitaji mtu ambaye hana noma za hivyo ila kwa Ndugu yangu huyu yeye noma anazo, tena nyingi kwahiyo kistaarabu kabisa nikaona NIMUACHE. Yangu matumaini utaokota kadhaa humu ambayo yatakupa mafuta ya ZIADA ya kutaka kesho uamke salama na kwenda kuwa BORA zaidi ya JANA kwa lolote ambalo utaamua kufanya na lenye kheri na wewe. Mimi nakutakia BARAK ZOTE kwenye hilo maana mifano hai ya wanao jituma na kufanikiwa ipo. Maana yake ni kwamba, inawezekana. Wewe tu! Love, Salama. --- Support this podcast: https://anchor.fm/yahstonetown/support
MP3 Link Play via Mixcloud Andrew hosting this week's show, with a smoking hot selection of soul, jazz, disco, boogie, funk, house, reworks, edits and loads more. Featuring tracks by Michael Franks, Brenda Russell, Ndugu & The Chocolate Jam Co., Cedar Walton, SHE, Herbie Hancock, Reel People, Enlightment, Herbie Mann, Dee Dee Bridgewater and many, many more. Enjoy. RSS Feed: 6MS Sessions
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, Dkt. Mwanahija Ali Juma ambaye ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Zanzibar, BAKIZA anafafanua maana ya methali Ndugu chungu, jirani mkungu!
Wide Open, Cunga Battle, Jim Nash, Ndugu, Sonship Theus, Vibes, Flutes, Watts Riots, Burn Baby Burn, Regrets, Revelations, Validiction
Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonesha kuwa zaidi ya asilimia 61 ya watu walioajiriwa duniani, wanapata kipato chao kupitia ajira katika sekta isiyo rasmi. Kwa bara la Afrika, asilimia 85.8 ya ajira zote ni katika sekta hiyo isiyo rasmi ambapo Umoja wa Mataifa unasema idadi kubwa ya waajiriwa huko ni wanaume.
Kuweka ujumbe wa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs katika mashairi ni moja ya njia nzuri za kuyaleta karibu malengo hayo karibu na watu, kuyaelewa na kuyafanyia kazi. Hayo ni maneno ya Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, Zlatan Millisic alipokuwa akipokea kitabu cha mashairi 17 ya SDGs kilichoandikwa na kijana mtanzania, Aisha Kingu. Ahimidiwe Olotu na maelezo zaidi. “Ndugu umaskini, usiangalie kibanda changu. Usigonge kwenye nyumba ya jirani yangu. Kaa mbali, mbali kabisa.”
1. Ronnie McNeir - Extra Extra 2. Patti Labelle - It's Alright 3. ZZ Hill - Cheatin' In The Next Room 4. Bobby Thurston - Treat Me The Same Way 5. The O' Jays - My Favourite Person 6. The Impressions - You're Mine 7. Ndugu & The Chocolate Jam Company - Come Into My Life Again 8. Naked Music NYC - Love Is Everything 9. Lou Courtney - Somebody New Is Lovin' On You 10. Ronnie McNeir - In Summertime 11. The Dramatics - Stranger In My Life 12. The Undisputed Truth - Smiling Faces 13. L.T.D. - Love Magic 14. Tower Of Power - So Very Hard To Go 15. Lou Courtney - What Do You Want Me To Do 16. Heaven & Earth - Whole Lot Of Love 17. Lawrence Hilton Jacobs - Wonder Woman 18. Roberta Gilliam - All I Want Is My Baby 19. Colonel Abrams - Good Things 20. Drizabone - Gonna Happen 21. Kim English - It Makes A Difference - Danny Krivit Mix 22. Milt Mathews - Me & You & Love 23. Michael Wycoff - You Got It Coming 24. Terry Garmon - Any Way I've missed this music...
“Msiwahukumu wengine, msije nanyi mkahukumiwa na Mungu; 2kwa maana jinsi mnavyowahukumu wengine, ndivyo nanyi mtakavyohukumiwa; na kipimo kilekile mnachotumia kwa wengine ndicho Mungu atakachotumia kwenu. 3Kwa nini wakiona kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? 4Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako,' wakati wewe mwenyewe unayo boriti jichoni mwako? 5Mnafiki wewe! Ondoa kwanza boriti iliyomo jichoni mwako na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilichomo jichoni mwa ndugu yako. 6“Msiwape mbwa vitu vitakatifu wasije wakageuka na kuwararua nyinyi; wala msiwatupie nguruwe lulu zenu wasije wakazikanyaga. 7“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni mlango, nanyi mtafunguliwa. 8Maana, yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye mlango hufunguliwa. 9Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe? 10Au je, akimwomba samaki, atampa nyoka? 11Kama basi nyinyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: Atawapa mema wale wanaomwomba. 12“Yote mnayotaka watu wawatendee nyinyi, watendeeni wao vivyo hivyo. Hii ndiyo maana ya sheria ya Mose na mafundisho ya manabii. 13“Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba. Kwa maana njia inayoongoza kwenye maangamizi ni pana, na mlango wa kuingilia humo ni mpana; waendao njia hiyo ni wengi. 14Lakini njia inayoongoza kwenye uhai ni nyembamba, na mlango wa kuingilia humo ni mwembamba; ni watu wachache tu wanaoweza kuigundua njia hiyo. Mti hujulikana kwa matunda yake 15“Jihadharini na manabii wa uongo. Wao huja kwenu wakionekana kama kondoo kwa nje, lakini kwa ndani ni mbwamwitu wakali. 16Mtawatambua kwa matendo yao. Je, watu huchuma zabibu katika miti ya miiba, au tini katika mbigili? La! 17Basi, mti mzuri huzaa matunda mazuri, na mti mbaya huzaa matunda mabaya. 18Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri. 19Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni. 20Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao. --- Send in a voice message: https://anchor.fm/siri-za-biblia/message
Learn how and why a missionary in East Africa for over 25 years ends up serving in the Middle East.
Storry fupi kuhusiana na ndugu --- Send in a voice message: https://anchor.fm/nelson8286/message
https://abdjuwear.com/
Dr. Daniel Black is an award winning author with great sensibilities for the black community. He started the African Community Nduga Nzinga at Clark Atlanta University. Dr. Black is a phenomenal choir director. When he is not directing the sopranos he like to sit on the bank and fish the day away. Come listen to Dr. Black break down music, black sexuality, and over all dopeness.
Michael Howell's album, "In the Silence" was instrumental in the Jake Feinberg Show going from a fantasy to a reality. When I chose to go in the direction of jazz this was one of the albums that propelled me to track down the unsung heroes of the early 1970's. Bassist Henry Franklin gave instant credibility (by playing!) to the show that I promoted in South Central. Since than I have interviewed Ndugu and today I got my crack at Michael. It was well worth the wait. Ebony King, JF Ebony King, Jack's on Sutter, Flip Nunez, Glen Howell, Henry Franklin, Ndugu, Orrin Keepnews, The Call, In the Silence, Bahaina, Dizzy The Jake Feinberg Show --- Support this podcast: https://anchor.fm/jake-feinberg/support
I sat down with Ndugu prior to my departure to LA. It was one of those conversations where I felt like as long as I set screens, boxed out and was in the right place Ndugu would get me the ball. His intellect is undeniable and his passion for creation and getting acknowledged for creativity is paramount. We talked about leadership, mentoring, collaboration, teamwork and "music as a meal." The back half of the interview really picks up - probably because I got my sea-legs. Music is Life, Enjoy it, --- Support this podcast: https://anchor.fm/jake-feinberg/support
When I began to interview my heroes in jazz I started my search in the time period I loved most, the early 1970s. The guys I have pursued; Martino, Ndugu, Upchurch and Maupin are individuals who were already established but hit their groove in the early seventies. They had their role models, Lloyd Price, Hampton Hawes, Eric Gale and Horace Silver but mat this point there was a clear passing of the torch. It was time for a youth movement. And this youth movement coincided with a cross current of musical blending, Afro awareness and a belief that they were all in it together.I give a lengthy intro because my guest deserves it. He has received multiple musical degrees from the Berkeley school of music and the New England Conservatory and wound up honing his chops in the studio doing everything from jingles to Christian rock. His comfortability and ease paved the way for him to become one of "the" session drummers from the early seventies working with Patrice Rushen, herbie Hancock, johnny Hammond smith, Donald Byrd, Carole King, Seals and Crofts and Earth Wind and Fire. He made his own albums on Arista and also is an underrated composer which I look forward to talking about with him. He is someone who has left a serious legacy and his affect will have a positive impact on future generations of percussionists. Harvey Mason welcome..... --- Support this podcast: https://anchor.fm/jake-feinberg/support
Boštjana so medikamenti pomirili s svojo novo usodo. Mojca bi posvojila Afričana.
The shuffle is one of the most elusive grooves for any musician to master. It certainly complicates matters when there are numerous regional and genre interpretations to consider. In this show Phil and Jon spend some time discussing their experiences and listening to some of their favorite recorded shuffles. But first we take a moment to discuss the lean winter months and answer listener questions. We tackle an inquiry regarding the perceived importance and differentiation between the various types of wood used to construct drum shells. If all other tuning and equipment variables are equal are different woods discernable to our audience? What about fellow musicians? We then discuss the recent deaths of drumming greats, Leon Ndugu Chancler and Pat Torpey. We talk about their drumming careers, great recordings they appear on, and Ndugu's educational legacy. Finally the main topic of the day is addressed with each host mentioning how they first learned to play various shuffles. We also remember which shuffle songs made the biggest initial impression on us. We then go through the many different genres and eras of music that popularized the various shuffles that all drummers must be familiar with. Great drummers such as: Art Blakey, Mel Lewis, Steve Gadd, Bernard Purdie, Jeff Porcaro, Jabo Starks, Chris Layton, Billy Cobham, and more are discussed. Furthermore we listen to some of our favorite recorded shuffles and talk through what makes them great. If you haven't taken the time visit our new web site now is the time to do so! Navigate over to www.drummersweeklygroovecast.com and check it out! There you can find every episode of our show along with videos, social media, contact information and more. We are available on Itunes, Google Play Podcasts, Stitcher, Podbean, and everywhere you listen to your favorite podcasts. Subscribe today! New shows are published every Monday. Also practice along with us on our "accountability Thursday" mini-episodes (videos available) every first and third Thursday!
Last week, the world lost the great Leon "Ndugu" Chancler at the age of 65. Ndugu's art has been a constant presence in Joe's life for as long as he can remember, so he was thrilled that Mr. Chancler agreed to be the second guest on this show. That--in spite of his enormous success--he was willing to spend an hour with an unproven, inexperienced interviewer speaks to Ndugu's immense kindness and generosity of spirit. Ndugu, you are one of the very best, you've enriched the lives of billions of people the world over, and you'll be missed.
Ndugu Chancler is a drummer, percussionist, producer, composer, clinician, and educator. As a studio musician, Ndugu has recorded with such greats as Frank Sinatra, Herbie Hancock, Weather Report, John Lee Hooker, Kenny Rogers, and Michael Jackson. Working on Thriller and Bad, Ndugu was the drummer on the hit single Billie Jean. Ndugu has also played on a number of Movie Soundtracks such as, An Officer and a Gentleman, Indecent Proposal, and The Color Purple.As a songwriter, Ndugu co-wrote hits for Santana, including "Dance Sister Dance", "Reach For It" for George Duke, and "Let It Whip" for the Dazz Band. His production credits include Flora Purim, Bill Summers, Toki, along with his own solo recordings; Ndugu and the Chocolate Jam Co., and Ndugu Chancler.Ndugu has co-produced recordings for Santana, George Duke, The Crusaders, Joe Sample, Wilton Felder, Tina Turner, and a group he co-leads with Patrice Rushen, and Ernie Watts, The Meeting. These associations have brought many Gold and Platinum albums and Grammy Awards. Ndugu Chancler is on the Faculty at The University Of Southern California, in the Jazz Studies and Popular Music Departments.
"Ndugu" was born in Shreveport, Louisiana and moved to Los Angeles when he was eight. He began playing drums at age 12 and studied music throughout junior high and high school. While in high school, Chancler played with Willie Bobo, Gerald Wilson and the Harold Johnson Sextet. Chancler graduated from California State University, Dominguez Hills with a degree in music education. Chancler began playing with Hugh Masekela, and also worked with Herbie Hancock, Eddie Harris, and Thelonious Monk. He had brief stints with Miles Davis and Freddie Hubbard, then joined up with the great George Duke. He also performed with Julian Priester, Weather Report and toured with Santana in the mid-'70s, and then formed the band Chocolate Jam Co.Studio work includes Michael Jackson's "Billie Jean". Stanley Clarke, Jean-Luc Ponty, Donna Summer, Patrice Rushen, Hubert Laws, The Crusaders, Frank Sinatra, Lionel Richie, George Benson, The Temptations, Tina Turner, Kenny Rogers, Herbie Hancock and John Lee Hooker.Ndugu has also played on a number of Movie Soundtracks including , “An Officer and a Gentleman”, “Indecent Proposal” and “The Color Purple” As a songwriter Ndugu co- wrote hits for Santana including “Dance Sister Dance”, George Duke’s “Reach For It”, and “Let It Whip” for the Dazz Band. His production credits include Flora Purim, Bill Summers, Toki, Ndugu and the Chocolate Jam Co. Ndugu has co-produced for Santana, George Duke, The Crusaders, Joe Sample, Wilton Felder, Tina Turner and a group he co-leads with Patrice Rushen and Ernie Watts called “The Meeting”.Ndugu Chancler is Faculty at The University Of Southern California in the Jazz Studies and Popular Music Departments.
In this bonus mini-episode, Ndugu Chancler tells Joe about recording Michael Jackson's classic song, "Billie Jean". You can hear Ndugu's full length episode by subscribing to The Trap Set on iTunes or RSS.
(NSFW!) Guys, gauntlets are gloves. TV news. Renewals and cancellations. Movie news. Hot Pursuit really hurt Jimmy. Concrete Park. Its gets all hip hop up in here. Snobs gotta start hating on Superhero movies. Old BSG stinks. Lots More!
(NSFW!) Guys, gauntlets are gloves. TV news. Renewals and cancellations. Movie news. Hot Pursuit really hurt Jimmy. Concrete Park. Its gets all hip hop up in here. Snobs gotta start hating on Superhero movies. Old BSG stinks. Lots More!
Thanks to the vagaries of jet-lag, I'm penning this little missive from Okinawa where it's hotter than July and I'm spending time with my daughter which fills me with glee. It's been a very hectic few days/weeks and I'm glad to be having a break from music for at least a wee while, but of course I'm coming back to London via Tokyo and I'm relishing the opportunity to be playing at my favourite club once again. I'm a fan of Shibuya's The Room not just because the proprietor, Shuya Okino, is a great friend, but because it really is the best little club in the world, with little being the operative word! So before bailing out for a break I managed to gather my resources for a tribute to George Duke, who sadly passed away on August 5th. I contemplated for a while whether this selection should take up the whole two hours, or just be a section of the show. However on reflection George Duke has touched me so deeply with some of his music over the years that really it was a no-brainer; yet a tribute to George could easily have been two hours of fusion and synth solos with little to distinguish between one track and the next. So hopefully I've avoided that trap whilst still dishing up plenty of Duke flying free on his ARP Odyssey! George Duke was perhaps a reluctant fusioneer, and if it wasn't for the influence of the likes of Frank Zappa and Flora Purim he might never have embraced electronic keyboards with such gusto. In fact he once recounted how he was horrified on one occasion in his early career when he turned up for a gig with Jean Luc Ponty to find there was no real piano just a Fender Rhodes. It was an important gig, with many influential peers in attendance, suffice to say that his performance on electric piano on that occasion set him off on that "electric jazz" road, and he barely paused to look back until the latter days of his recording career when his prowess on the piano once again came to the fore. However as a fully fledged member of a coterie of musicians who really defined the sound of fusion in the early seventies, Duke was a vital force in those experimental, pioneering days and it could easily be argued,(indeed I might even insist!) that his work with Flora Purim and AIrto during this period produced some of the most definitive and enduring music of the era. The fluidity of the Brazilian rhythmic feel and the participation of the likes of Joe Henderson in those recordings stopped the music from keeling over into the kind of hollow bombast that is sometimes the trademark of the kind of fusion which might also be described as Jazz-Rock. To anyone who really listens to Duke's playing they'll know that it is something of a misnomer to apply a term like Jazz-Rock to his work, as his roots are definitely deep within the blues and gospel traditions that informed most jazzers growing up in the sixties, and overall his music is just too soulful to fit such an epithet. However I've heard it said of Duke and really it's just lazy journalism and ignorance that informs such opinions. George Duke met Airto and Flora Purim whilst with Cannonbal Adderley's band, and was inspired by a trip to Brazil with that ensemble. The resulting album "The Happy People",produced by David Axelrod, is a major disappointment , awful sonically and pretty incoherent musically it's an important record only in that it marks the inception of their relationship that would go on to bloom on albums like Flora's "Stories To Tell", "Moon Dreams" and "That's What She Said", and in turn Flora and Airto would guest on Duke's early solo recordings and be a vital part of his homage "A Brazilian Love Affair", when Duke eventually returned to Brazil to make his own record there and record with the artist whose music had so affected him on his first visit, Milton Nascimento. However that Brazilian influence kept bubbling through Duke's music over the years and though he admitted to also being influenced by Earth Wind and Fire in the late seventies, they themselves had also taken on that same influence. So in some ways it's better to picture their trajectories in parallel as they both found great ways to translate the harmonic and rhythmic wellspring of Brazil into their music. Perhaps there's some poetic justice in the fact that eventually George Duke would produce tunes written by Earth Wind And Fire's keyboard maestro Larry Dunn, (Dee Dee Bridgewater's version of "Tequila Mockingbird" and Dianne Reeves "Sky Islands") such are the similarities between them. Ironically Duke's biggest hit with Afro American audiences, "Dukey Stick" was the kind of funk workout his consummate band were more than capable of with the mighty Ndugu behind the kit, but it had none of the harmonic sophistication or soulful splendour that is the essence of his music. So here's two hours of George Duke that delves deeply into his lyrical piano playing and his distinctive voice on solo synthesiser as well as his role as producer, arranger and collaborator, a composer of rare power and a musician of infinite grace. 1. George Duke - My Soul 2. The Third Wave - Maiden Voyage 3. George Duke - Jeanine 4. Flora Purim - Casa Forte 5. George Duke - Diamonds 6. Miles Davis - Backyard Ritual 7. George Duke - Let Your Love Shine 8. George Duke - Say That You Will 9. George Duke - Malibu 10. George Duke - Brazilian Sugar 11. George Duke - The Way I Feel 12. George Duke - Dream Weaver 13. George Duke - Feels So Good 14 George Duke - Stones Of Orion 15. George Duke - Feel 16. George Duke - Someday 17. George Duke - Omi (Fresh Water) 18. Dianne Reeves - Sky Islands 19. George Duke - Brazilian Love Affair 20. George Duke - I Want You For Myself
At age nineteen Ndugu had performed and recorded with such greats as Miles Davis, Freedie Hubbard, Joe Henderson, Eddie Harris, Harold Land and Bobby Hutcherson. Ndugu has worked on several Grammy nominated albums and has numerous production and co- production credits. Ndugu Chancler is known not only as a world-class drummer and percussionist, but also a producer, composer, clinician and teacher. A three-time Grammy nominee, he has to his credit an extensive list of performances, recordings, original compositions and productions. As a studio musician, he has performed and recorded with Miles Davis, Herbie Hancock, George Duke, Patrice Rushen, Hubert Laws, The Crusaders, Frank Sinatra, Weather Report, Lionel Richie, Kenny Rogers, Thelonious Monk and John Lee Hooker. He was the drummer on the biggest selling pop album by Michael Jackson, Thriller, providing the beat on “Billie Jean.” As a producer and songwriter, he has written hits for The Dazz Band and George Duke, and produced for Flora Purim, Bill Summers, Toki and his own solo recordings. He has co-produced recordings for Santana, The Crusaders, George Duke, Tina Turner, Joe Sample, Wilton Felder and The Meeting, the group he co-leads with Patrice Rushen and Ernie Watts.
Tracks from : Ndugu & the Chocolate Jam Co. – Arnold Blair – Louise Murray – Etta James – Space Invadas feat. Dank – Pharoahe Monch feat. Mela Machinko – S1 feat. Rah Digga – B.H.Y – Cream de Coco – DJ Jazzy Jeff feat. Twone Gabz – Dj Numark feat. Chali 2Na – Oneness Of Juju – Kingdom Afrocks – Grupo X – Heavy D & The Boyz – Boogie Down Productions – Busta Jones – Steve Washington