Podcasts about Tanzania

Country in East Africa

  • 5,763PODCASTS
  • 13,098EPISODES
  • 36mAVG DURATION
  • 2DAILY NEW EPISODES
  • Jun 11, 2026LATEST
Tanzania

POPULARITY

20192020202120222023202420252026

Categories



Best podcasts about Tanzania

Show all podcasts related to tanzania

Latest podcast episodes about Tanzania

Habari za UN
11 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 11, 2026 10:43


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, umetamatishwa leo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Idhaa hii imepata fursa ya kuzungumza na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya mkutano huu muhimu, Mtanzania Zuleikha Tambwe. Pia tunakuletea muhtasari wa habari kama zifuatazo..Hatari ya Ebola wakati wa Kombe la Dunia la Soka 2026 ni ndogo na hakuna sababu ya mashabiki kubadili mipango yao ya safari kuelekea Canada, Mexico na Marekani, limesema Shirika la Afya Duniani WHO kombe hilo liking'oa nanga leo. Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Ulaya, Hans Henri P. Kluge, amesema hakuna wagonjwa wa Ebola katika nchi hizo wala Ulaya na amesisitiza, “Safirini kama kawaida na furahieni mashindano hayo.” WHO imefafanua kuwa Ebola haisambai kwa njia ya hewa na visa vingi vipo katika maeneo ya mbali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Annalena Baerbock, amehitimisha ziara  ya siku mbili jijini Nairobi nchini Kenya, ambapo amesisitiza nafasi muhimu ya Umoja wa Mataifa katika kuendeleza maendeleo, amani na ushirikiano barani Afrika. "Kila siku Umoja wa Mataifa na washirika wake huokoa maisha. Bila UN, mamilioni ya watoto wasingepata elimu kupitia UNICEF wala chanjo muhimu kupitia WHOna tusingekuwa na ushirikiano kama huu."Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, uliokuwa unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani umefikia tamati leo. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “kuadhimisha miaka 20 ya mkataba huo na kuimarisha utekelezaji wake katika dunia inayobadilika.” Kibaya Laibuta, Jaji wa Mahakama ya Rufani nchini Kenya, ambaye pia ni mlemavu aliyeoona au  kipofu, ameshiriki na anaeleza alivyouona mkutano huu.Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

Habari za UN
10 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 10, 2026 10:28


Jaridani leo tunakuletea mada kwa kina maalum ambayo kama nilivyokujuza hapo awali inaangazia mkutano wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, unaofanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa chini ya kauli mbiu “kuadhimisha miaka 20 ya mkataba huo na kuimarisha utekelezaji wake katika dunia inayobadilika.”Washiriki wanajadili namna ya kutokomeza ukandamizaji, ukatili na manyanyaso dhidi ya watu wenye ulemavu, kuimarisha mifumo ya huduma na msaada, pamoja na kuongeza ushiriki na uwakilishi wao katika maisha ya kisiasa na umma. Miongoni mwa wanaohudhuria mkutano huo ni Nassriya Nassir Ali mbunge wa watu wenye ulemavu kutoka nchini Tanzania, yeye anaulemavu wa kusikia au kiziwi. Leah Mushi amefanya mahojiano naye na hapa mkalimani wake wa lugha ya Alama Tusajigwe Ernest anajibu kwa sauti. Pia tunakuletea mhtasari wa habari tukimulika haki za elimu kwa watoto nchini Sudan, usalama wa mabaharia na judhibiti wa kusambaa kwa virusi vya Ebola hasa wakati huu wa michezo ya kimataifa ya kuwania kombe la dunia. Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "MKWARUZO."

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 9, 2026 0:40


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "MKWARUZO."

Habari za UN
09 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 9, 2026 9:57


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina. Kesho kutwa Alhamisi ya Juni 11, macho na masikio yanaelekezwa Mexico, Canada na hapa Marekani kwa ajili ya fainali za kombe la dunia kwa mpira wa miguu, au soka al maarufu kabumbu. Ingawa hivyo zama za sasa za mchezo huo maarufu zaidi duniani zinakumbwa na madhara ya  athari za mabadiliko ya tabianchi. Ongezeko la joto kali linavuruga mechi na kuzua wasiwasi kuhusu mustakabali wa mchezo huo. Ni kwa kuzingatia hilo, Sekretarieti ya Mkataba wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, UNFCCC inamulika suala hilo na kutoa mapendekezo ya nini kifanyike kwani hivi sasa madhara ya joto kali kwenye kabumbu ni dhahiri. Feissal Kirwa anamulika hilo kupitia video iliyoandaliwa na UNFCCC.Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Takriban watoto milioni 138 duniani kote bado wako katika ajira za watoto, wakiwemo watoto milioni 54 wanaofanya kazi hatarishi. Hayo yamo katika ripoti mpya iliyotolewa leo na Shirika la Kazi la Umoja wa Mataifa ILO. Katika ujumbe wakwe kwenye ripoti hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa ILO, Gilbert F. Houngbo, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka ili kubadili hali hii.“Habari njema ni kwamba hadi sasa tuna wagonjwa 19 ambao wamepona, hivyo utambuzi wa mapema na matibabu vinaokoa maisha,”  Huyo ni Mkurugenzi wa Operesheni za Tahadhari na Hatua za Dharura za Afya wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO), Dkt. Abdirahman Mahamud, akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva leo kwa njia ya video kutoka Bunia katika Jimbo la Ituri, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, jimbo ambalo linachangia asilimia 94 ya wagonjwa wote wa Ebola.Mkutano wa 19 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu CRPD, umeanza leo Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York na utaendelea hadi 11 Juni. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “kuadhimisha miaka 20 ya mkataba huo na kuimarisha utekelezaji wake katika dunia inayobadilika.” Washiriki wanajadili namna ya kutokomeza ukandamizaji, ukatili na manyanyaso dhidi ya watu wenye ulemavu, kuimarisha mifumo ya huduma na msaada, pamoja na kuongeza ushiriki na uwakilishi wao katika maisha ya kisiasa na umma.Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "MKWARUZO."Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

new york canada mexico fifa tanzania ebola jimbo zanzibar drc ilo kazi unfccc umoja hayo congo drc hii haki kiswahili katika afya ituri baraza habari joto dkt hatua jamhuri mataifa marekani shirika kimataifa mkutano bunia kidemokrasia kesho mkurugenzi alhamisi
Cities and Memory - remixing the sounds of the world

"I found the recorded voices both compelling and slightly disturbing. The levity around the use of a spice to drug 'brides to be' was deeply uncomfortable. Having lived in Tanzania and having some familiarity with the culture, I wanted to create a piece that was both challenging and a celebration. I felt conflicted, wanting to capture both the incredible joy of the people and community, and the profound sadness of the history of the area. I wanted to capture something of the trance like nature of the local rhythms and contrast that with more European melodies."Nutmeg use in Zanzibar reimagined by deadkousin.

Habari za UN
Mradi wa UNEP na wadau wake Zanzibar waimarisha uhifadhi wa bahari kupitia upandaji wa mikoko na ufugaji bora wa nyuki

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 8, 2026 3:08


Jamii katika mkoa wa Kaskazini Unguja huko visiwani Zanzibar nchini Tanzania wanaadhimisha siku ya bahari hii leo Umoja wa Mataifa ukielezea dhahiri mafanikio ya mradi wa uhifadhi wa mikoko na ufugaji wa nyuki unaochagiza sio tu upatikanaji endelevu wa kipato bali pia uhifadhi wa mazingira na bahari. Assumpta Massoi na maelezo zaidi ya mradi huo.

Habari za UN
08 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 8, 2026 9:58


Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe wa Katibu Mkuu kuhusu siku ya baharí duniani na kumulika ni hatua gani Zanziba zinachukua kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Pia tunakwenda nchini Kenya kufuatilia simulizi ya mchezaji wa raga.Bahari duniani zinakabiliwa na changamoto kubwa zinazotishia afya ya mazingira na ustawi wa binadamu, ameonya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres na kutoa wito wa hatua za haraka na za pamoja kukabiliana na hali hiyo.Jamii katika mkoa wa Kaskazini Unguja huko visiwani Zanzibar nchini Tanzania wanaadhimisha siku ya bahari hii leo Umoja wa Mataifa ukielezea dhahiri mafanikio ya mradi wa uhifadhi wa mikoko na ufugaji wa nyuki unaochagiza sio tu upatikanaji endelevu wa kipato bali pia uhifadhi wa mazingira na bahari.Nyota wa mchezo wa raga ama rugby, Kevin Wekesa kutoka nchini Kenya ambaye alishiriki Michezo ya Olimpiki jijini Paris Ufaransa mwaka 2024, ameeleza nia yake ya kufanya vizuri uwanjani huku akitumia umaarufu wake kuhifadhi mazingira na kuhamasisha hatua endelevu kupitia michezo ili kujenga dunia yenye mnepo.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Mission Unstoppable
From Fat Mary to Global Change Maker

Mission Unstoppable

Play Episode Listen Later Jun 7, 2026 65:15


She was called “Fat Mary.”Growing up in a Catholic orphanage high in Tanzania's Usambara Mountains, Mary faced hunger, beatings, rejection, and the crushing reality of being a mixed race child who felt unwanted by both the Black and White communities around her.The nuns constantly reminded her she was a “child of sin,” but Mary refused to let her circumstances define her future.Determined to escape the orphanage and build a better life, she poured herself into her education, believing that academic excellence might be her only path to freedom.That little girl would eventually become Nhambu, an internationally recognized author, educator, dancer, entrepreneur, philanthropist, and cultural ambassador.In this powerful episode, Nhambu shares her extraordinary journey from hardship to hope, and how the rhythms, traditions, and resilience of Africa shaped a life dedicated to inspiring others.Today she is the author of the acclaimed Dancing Soul Trilogy: Afrika's Child, America's Daughter, and Drum Beats, Heart Beats, and creator of the popular fitness movement Aerobics With Soul®.This is a story of courage, identity, education, forgiveness, and the unstoppable power of the human spirit.Nothing Stops These People- with host Frankie Picasso

Habari za UN
05 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 5, 2026 9:38


Jaridani tunakuletea mada kwa kina. Hii leo dunia inaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani huku maadhimisho ya kimataifa yakifanyika jijini Baku nchini Azerbaijan. Maudhui ya mwaka huu ni "Sasa kwa ajili ya Tabianchi", yakiweka msisitizo mkubwa wa kuchukua hatua dhidi ya za uhifadhi wa mifumo ya ikolojia na hatua za kukabili tabianchi.Hivi karibuni, Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria pamoja na wadau, iliwasilisha Ripoti ya Hali ya Ziwa hilo ikionesha uwepo wa kemikali hatarishi, taka ngumu, plastiki, pamoja na majitaka vitu ambavyo ni hatari kwa viumbe wa majini na mazingira. Rashid Malekela wa Idhaa hii ametembelea mwalo wa Luchelele, uliopo mkoani Mwanza, kaskazini-magharibi mwa Tanzania, kufahamu jinsi wakazi wa eneo hilo wanavyochukua hatua dhidi ya Tabianchi. Anaanza na uongozi wa Kikundi cha Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi, BMU.Pia tunakuletea muhtasari wa habari zikiwemo za ... Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Habari za UN
03 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 3, 2026 10:33


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania Kaskazini mwa taifa hilo la Afrika Mashariki, ambako Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inaendelea kuwa mfano wa jinsi binadamu, wanyamapori na urithi wa kitamaduni vinavyoweza kuishi pamoja huku vikichangia maendeleo ya utalii endelevu na ulinzi wa mazingira. Je nini kinafanyika kuhakikisha uhifadhi, utamaduni, mazingira na utalii vinakutana kwa mustakabali endelevu? Ili kupata majawabu Flora Nducha wa Idhaa hii amezungumza na Kamishna wa Hifadhi ya Ngorongoro, Abdul-Razaq Badru.Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ameendelea kusisitiza umuhimu wa ugunduzi wa mapema kwani hatua zikichukuliwa haraka wagonjwa wa Ebola wanapona. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Geneva Usiswi baada kurejea kutoka ziarani mashariki mwa DRC amesema, Kufikia sasa, watu sita wamepona nchini DRC na wawili nchini Uganda, jambo linaloonesha kuwa watu wanaweza kupona Ebola iwapo watapata huduma za afya na kwenda vituo vya afya mara tu wanapoanza kuonyesha dalili za ugonjwa huo.Kuelekea kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA wiki ijayo hapa Marekani na katika nchi jirani, Canada na Mexico, Shirika la Afya la Nchi za Amerika (PAHO) limetoa wito kwa nchi za bara la Amerika kuimarisha ufuatiliaji wa ugonjwa wa surua na Rubella kufuatia  mikusanyiko mikubwa inayotarajiwa na milipuko inayoendelea ya surua na ongezeko la safari za kimataifa vinaweza kuongeza kasi ya kuenea kwa ugonjwa huo. Shirika hilo linazitaka mamlaka za afya kubaini maeneo yaliyo katika hatari kubwa na kuimarisha hatua za kukabiliana haraka ili kuzuia maambukizi zaidi. Na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa asubuhi hii kwa saa za New York, Marekani wanachagua wanachama watano wapya wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama kwa muhula kipindi cha miaka miwili kuanzia tarehe 1 Januari 2027 hadi 31 Desemba 2028. Kutoka Barani Afrika mgombea mmoja ni Zimbabwe ambaye hata hivyo anatarajiwa kupita kwani hana mpinzani katika nafasi hiyo. Nchi zitakazochaguliwa zinachukua nafasi za Somalia, Pakistan, Panama, Denmark na Ugiriki, ambazo mihula yao itaisha mwishoni mwa mwaka huu 2026.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

Habari za UN
02 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 2, 2026 10:47


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Jamhuri ya Kidokrasia ya Congo DRC katika mji wa Mavivi jimboni kivu kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo kusikia ni kwa jinsi gani walinda amani kutoka Tanzania wanaohudumu chini ya MONUSCO. wanavyochangia katika ulinzi wa amani na msaada wa kibinadamu.Umoja wa Mataifa umezitaka nchi zote duniani kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema baada ya kuthibitisha kuanza kwa hali ya El Niño, ukionya kuwa mabadiliko hayo ya joto la Bahari ya Pasifiki yataleta viwango vya juu vya joto kuliko kawaida karibu kila mahali duniani kati ya mwezi Juni mpaka Agosti na kuchochea matukio mabaya zaidi ya hali ya hewa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Geneva Uswisi Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Hali ya hewa duniani WMO, Celeste Saulo amesema "Taarifa hizi ni muhimu kwa sababu El Niño ni kichocheo kikubwa cha hali ya hewa duniani na mifumo ya mabadiliko ya tabianchi, bahari yenye joto, huongeza joto na unyevu kwenye mfumo wa hali ya hewa ambao unaweza kutumika kuzidisha hali mbaya ya hewa ikiwa ni pamoja na joto kali, na mvua kubwa.”.'Zinakaribia siku 100 sasa tangu kuanza kwa mzozo wa Mashariki ya Kati ambao athari zake zimesambaa duniani kote kwani umevuruga njia za usafirishaji na umeongeza gharama za usafiri na kuchelewesha utoaji wa huduma muhimu. Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto UNICEF limeeleza kuwa fedha nyingi sasa zinatumika kwenye usafirishaji badala ya kununua vifaa vya kuokoa maisha ya watoto. Gharama za kusafirisha chanjo kwenda baadhi ya nchi barani Afrika zimeongezeka kwa hadi asilimia 70, huku gharama za kusafirisha chakula tiba, na vifaa vya elimu, nazo zikipanda kwa kiwango kikubwa. Shirika hilo linaonya kuwa hali hiyo inalazimisha kufanya maamuzi magumu kuhusu ni watoto gani wapate msaada kwanza". Mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliogundulika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC na Uganda mwezi uliopita wa Mei ambapo mpaka sasa watu 49 wamepoteza maisha, 48 nchini DRC na mmoja nchini Uganda. Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amezihimiza jumuiya za kimataifa kutoa usaidizi unaohitajika ili kudhibiti mlipuko. Pia amelihimiza nchi kutoweka vikwazo vya usafiri kwa DRC, ili kuhakikisha msaada wa kiafya na kibinadamu unaweza kufikia kiwango kinachohitajika.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "CHOTORA"Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “CHOTORA”

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 2, 2026 0:50


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Mtalaam wetu Onni Sigalla kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania BAKITA anafafanua maana ya neno “CHOTORA”

Mammalwatching
Tom Butynski & Yvonne de Jong: Wild Solutions (Kenya)

Mammalwatching

Play Episode Listen Later Jun 1, 2026 59:11


Charles and Jon talk to conservationists and primatologists Tom Butynski and Yvonne de Jong from their base in Kenya.Tom and Yvonne run the East African Primate Diversity and Conservation Program and research primates and other mammals in East Africa.After explaining how their rural childhoods fostered a love for nature, Tom and Yvonne outline very varied career paths that took them around the world and eventually to Kenya - and each other - 25 years ago.They talk about the importance of citizen science and describe some of the work they are undertaking on a range of species, including the critically endangered Southern Patas Monkey. And they outline the process they have followed to describe the several new primate species and subspecies they have described.Charles is delighted to hear that if people looking for a new purpose in life then "dik-diks are the way to go", while Jon is shocked when Yvonne claims that she and Tom are not yet "as cool as the birders"!The episode begins with Charles and Jon taking about their March 2026 weekend in Florida featuring a Florida Mouse and a very lengthy wrong turn!Notes: Tom and Yvonne's Wild Solutions website is a goldmine of mammalwatching information, including some excellent free pocket guides to African primates, and a sound library of vocal profiles of many galago species (the calls of which are often indispensable to species identification).Jon and Charles's weekend in Florida report is here.If you would like to submit you own notes from the field then please get in touch with Jon at info@mammalwatching.comYou can support mammalwatching and buy us a coffee here https://buymeacoffee.com/mammalwatchingFinally did you know you can sign up to receive a weekly mammalwatching newsletter here? https://www.mammalwatching.com/subscribe-to-updates/Cover art: Tom & Yvonne in the field by Rick Strooper.Dr Charles Foley is a mammalwatcher and biologist who, together with his wife Lara, spent 30 years studying elephants in Tanzania. They now run the Tanzania Conservation Research Program at the Lincoln Park Zoo in Chicago.Jon Hall set up mammalwatching.com in 2005. Genetically Welsh, spiritually Australian, currently in New York City. He has looked for mammals in almost 120 countries.

Habari za UN
01 JUNI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later Jun 1, 2026 9:34


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina maalumu ambapo hii leo tutaelekea jijini Kampala nhcini Uganda kuangazia uzunduzi wa awamu ya tatu ya safari ya hija ya “Twende Zetu Butiama”, kumuenzi Hayati Mwalimu Julius Kmabarage Nyerere, rais wa zamani wa Tanzania aliyedumisha amani, msikamano na kupigania maendeleo ambazo ni ajenda zinazopewa kiaumbele cha juu na Umoja wa Mataifa. Shuhuda wetu katika uzinduzi huo uliofayika mwishoni mwa wiki alikuwa ni John Kibego kutoka Radio washirika wetu Kazi Njema FM ya mjini Hoima.Tukianza na ugonjwa wa Ebola lakini leo ni habari njema, wauguzi wanne waliokuwa wamelazwa hospitalini huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC wameruhusiwa kutoka hospitali baada ya kupona ugonjwa huo, na kufanya idadi ya waliopona virusi vya Ebola hadi sasa kufikia watu watano. Shirika la Umoja wa Mataifa la afya Duniani WHO katika taarifa yake limesema “Tunatarajia kuona watu zaidi wakipona, hasa wale wanaogunduliwa mapema na kupata huduma za afya kwa wakati, huku juhudi za kudhibiti mlipuko zikiongezwa kasi.”.'Kamati ya haki za watoto ya Umoja wa Mataifa imelaani sheria iliyopitishwa na uongozi wa Taliban nchini Afghanistan ya kuwa mtoto wa kike akisha balehe tu tayari anaweza kuolewa. Kamati imesema sheria hiyo mpya ni ukiukwaji mkubwa na wakimfumo wa sheria ya kimataifa ya haki za binadamu na kwamba Taliban wanachukulia ukimya wa wasichana kama ridhaa, na kwamba amri hiyo ni muendelezo wa mfululizo wa hatua za kibaguzi zinazochukuliwa na utawala wa Taliban,".Na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, hii leo ameonya kuwa kuenea na kuhamishwa kwa njia haramu kwa silaha ndogo ndogo na nyepesi kunaendelea kuchochea migogoro, ugaidi, uhalifu na ukatili wa kijinsia duniani kote, huku akizitaka nchi kuimarisha ushirikiano wa kimataifa ili kukabiliana na vitisho vinavyoibuka.Mwenyeji wako ni Anold Kayanda, karibu!

Africanist Press Podcast Service
Publishing for Liberation and National Development: From TPH to Mkuki na Nyota in Tanzania

Africanist Press Podcast Service

Play Episode Listen Later Jun 1, 2026 79:01


When Tanzania gained independence in 1961, Julius Nyerere saw publishing as a key part of decolonization and nation-building. In 1966, he founded the Tanzania Publishing House (TPH), putting state publishing at the center of building national identity and culture, and of bringing people together through language.Tanzania's influence grew throughout the 1970s and 1980s. During this period, Dar es Salaam served as the headquarters for several Southern African liberation movements, such as FRELIMO, SWAPO, and the ANC. TPH was central in this era, publishing and distributing anti-imperialist works like Walter Rodney's How Europe Underdeveloped Africa, Agostinho Neto's Sacred Hope, Samora Machel's Establishing People's Power to Serve the Masses, and Issa Shivji's Class Struggle in Tanzania.Integral to TPH's influence during these years was Walter Bgoya, who served as managing director from 1972 to 1990 and played a major role in making TPH and Dar es Salaam a center for progressive intellectuals from around the world. His leadership was instrumental in shaping the publishing landscape.For publishers like TPH, state-led publishing ended in the 1990s. when the IMF's Structural Adjustment Program brought austerity and privatization, which hurt state-owned companies. This directly impacted TPH and changed the country's publishing landscape.When the government stopped supporting state publishing, Walter Bgoya decided to leave TPH in 1991. He went on to start Mkuki na Nyota Publishers, carving out a new path in independent publishing. Since then, Mkuki na Nyota has continued this legacy as a key force in East African publishing, producing critical academic, historical, and literary works. In this episode, we interview Walter Bgoya. We focus on his leadership at TPH and his founding of Mkuki na Nyota. The conversation explores African publishing as a tool for decolonization, culture, and independence. This episode is part of the Africanist Press's New Democracy Series.

Women's Leadership, Women's Career Development, Business Executive Coaching & Podcast by Sabrina Braham MA PPC
Women Leaders Overcome Self-Doubt: The Power Quotient Framework That Changes Everything (2026) WLS 162

Women's Leadership, Women's Career Development, Business Executive Coaching & Podcast by Sabrina Braham MA PPC

Play Episode Listen Later May 30, 2026 24:50


Women Leaders Overcome Self-Doubt: The Power Quotient Framework That Changes Everything (2026) Executive Summary: 68% of women in tech experience imposter syndrome, yet most have never been taught to fight it strategically. Former IBM VP Shelmina Babai Abji shares her Power Quotient (PQ) framework — a proven system for silencing the inner critic, amplifying your voice of courage, and advancing your leadership career. Quick Takeaways: 68% of women in tech report imposter syndrome — tech is the most affected industry (Hays, 2025). Your "Power Quotient" (PQ) is the ability to intentionally choose an empowering response over a disempowering one. The voice of fear is doing its job — your job is to feed your voice of courage louder reasons to act. For every 100 men promoted to first manager, only 81 women make the same leap (McKinsey, 2025) — PQ is a competitive differentiator. Showing your worth is a continuous journey of competence, confidence, relationships, and personal branding — not a one-time event. Sixty-eight percent of women in tech experience imposter syndrome. Let that number land. That means more than two out of every three talented, qualified women sitting in engineering meetings, VP offices, and C-suite strategy sessions are secretly wondering if they belong there. And according to a KPMG survey of 750 female executives, 75% of senior women leaders have experienced imposter syndrome at some point in their careers — with 85% saying they believe it's widespread in corporate America. Yet almost no one teaches women what to do about it — strategically, systematically, and permanently. I'm Sabrina Braham, MA, MFT, PCC — executive leadership coach with over 30 years of experience, and host of the Women's Leadership Success Podcast, now with over 950,000 downloads and ranked in the top 1.5% of podcasts globally. In Episode 162, I sit down with Shelmina Babai Abji — TEDx speaker, former IBM Vice President, angel investor, and author of Show Your Worth — for one of the most powerful and practical conversations I've ever had on this podcast. Shelmina grew up in poverty in Tanzania, put herself through school across three countries, walked into a room of 2,000 engineers where no one looked like her, and still became one of the highest-ranking women of color in IBM's history — overseeing teams that generated over $1 billion in annual revenue. Her secret? A framework she calls the Power Quotient. If you're a woman leader in tech or any competitive industry who is battling negative mental chatter, fear of speaking up, or the relentless whisper that says you're not qualified enough — this episode is for you. Why Self-Doubt Is Hitting Women Leaders Harder Than Ever in 2026 The data tells a story that is urgent and personal. A 2025 Hays survey of more than 8,000 professionals found that 68% of women in tech experience imposter syndrome — and that approximately one-third say these feelings grow more intense as their careers advance, not less. Tech is now the single most-affected industry in the entire workforce. This is not a personal failing. It is a structural reality. As Shelmina describes it, when you look around a room and see no one who looks like you, no one who sounds like you, no one who grew up like you — your brain does exactly what it is designed to do: it searches for evidence that you belong, finds little, and generates doubt. "I walked into a room of 2,000 engineers," Shelmina recalls, "and I realized there was not one person that looked like me. Not one person that spoke like me. And I started undermining my own capabilities, underestimating my own worth." The compounding problem is this: according to the McKinsey Women in the Workplace 2025 report, women represent 49% of entry-level employees — yet by the time you reach the C-suite, fewer than 29% of those seats belong to women. For every 100 men promoted to their first manager role, only 81 women make the same leap. The "broken rung" is real, and self-doubt is one of the forces that keeps it broken. The cost of unchecked self-doubt is not just personal — it is organizational. Women who silence themselves in meetings, decline stretch assignments, or step back from promotions because they do not feel "ready" are costing their companies their most strategic asset: authentic, experienced, high-EQ leadership. The good news? Shelmina's own career is proof that the cycle can be broken — and the tool she used is available to every woman listening right now. Introducing the Power Quotient (PQ): Your Most Underused Leadership Asset Most leaders are familiar with IQ (intellectual intelligence) and EQ (emotional intelligence). Shelmina introduces a third: PQ — Power Quotient. "We own the power to intentionally pick an empowering response to a disempowering stimulus, whether that stimulus is internal or external. That's your PQ. And the internal stimulus must be taken care of first, before we can fight the external." This is not a motivational concept. It is a cognitive framework with three operating principles: PQ Principle 1: Recognize the Voice of Fear — Without Obeying It The voice of fear is not your enemy. It is doing exactly what it evolved to do: keep you in your comfort zone. The moment you recognize that the whisper saying "they'll find out you don't belong" is just a voice — not a fact — you reclaim agency over it. Shelmina's turning point came during her first year at a major tech employer. She was sitting in a meeting, holding back an idea. Then she watched someone else state her exact idea — and receive praise for it. "That was the first time I recognized that my ideas do matter," she says. "And once I had that inner victory, everything changed." Try This Now: The next time you catch yourself editing an idea before you say it, ask: "Is this my voice of fear or my voice of courage speaking?" Name it. That naming alone is the beginning of PQ. PQ Principle 2: Feed Your Voice of Courage With Reasons Courage is not the absence of fear. It is acting despite fear — and it grows when you actively give it ammunition. Shelmina calls this "feeding your voice of courage," and it is a deliberate, intentional practice. In her case, the reason was visceral: "If I didn't speak up, they would not extend my visa. My dream of lifting my family out of poverty would be over." That reason was more powerful than her fear. Your reason does not need to be that dramatic — but it does need to be real to you. Effective reasons to feed your voice of courage include: The impact your idea could have on your team or clients The career advancement that depends on your visibility The women who will follow in your footsteps if you blaze this trail The competencies you will build only by speaking up and stretching PQ Principle 3: Make Your Voice of Courage Louder Than Your Voice of Fear This is the practice. Not silencing fear — but systematically amplifying courage until it drowns fear out. "I made my voice of courage louder than my voice of fear," Shelmina says, "by feeding it reasons why I should do something, as opposed to reasons why I shouldn't." This maps directly to what 2026 executive presence research identifies as the core of leadership gravitas: decisiveness under pressure and emotional self-regulation. Leaders who can redirect internal narratives in high-stakes moments are the ones who get promoted, trusted, and retained. How to Show Your Worth Without Waiting to Be Noticed One of the most actionable insights from Shelmina's work is this: showing your worth is not self-promotion. It is a strategic practice of continuously positioning yourself to contribute higher and higher value — and then ensuring the right people have a front-row seat to that contribution. "Show your worth, in the context of my book, is the value you contribute towards the success of your organization," Shelmina explains. "The recognition that I have something to contribute is the beginning of understanding your worth. And then the journey is: how do I continuously position myself to contribute more?" This has four dimensions that mirror 2026's most sought-after leadership competencies: Competencies — continuously building the skills that drive organizational outcomes Confidence — the deep-seated self-trust that comes from doing hard things and surviving them Relationships — intentionally building the four key relationships (boss, peers, mentors, sponsors — covered in Part II) Personal branding — ensuring your value is visible, not just felt Worth is not static. It is not something you either have or you don't. "The more competent you become," Shelmina says, "the higher the value you create." It is a compounding cycle — and it begins the moment you decide your ideas matter. Overcoming Negative Mental Chatter: A Framework for Women in Tech Negative mental chatter — the constant inner voice of "I'm not smart enough, I'll sound stupid, they'll find out" — is the presenting symptom of an unchecked voice of fear. Shelmina identifies it as the single biggest barrier she sees in her work with women leaders, and she is specific about how to address it. Step 1: Externalize It Treat negative mental chatter the way you would treat a notification on your phone: notice it, acknowledge it, then decide whether to engage. The chatter loses power the moment you observe it rather than inhabit it. Step 2: Name the Fear Underneath Is it fear of failure? Fear of judgment? Fear of stepping outside your comfort zone? Fear of being seen as someone who doesn't belong? Naming the specific fear collapses it from a fog into a manageable object. You can work with a named fear. You cannot work with a fog. Step 3: Reframe the Outcome "There is no such thing as failure," Shelmina says. "There are only various degrees of success." Every stretch assignment, every meeting where you spoke up and it didn't land perfectly, every project that didn't go as planned — these are data....

Habari za UN
29 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 29, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina maalumu ambapo tunamwangazia mmoja wa maafisa waandamizi wa Umoja wa Mataifa, Joyce Msuya. Mwisho wa wiki hii, Joyce, raia wa Tanzania ambaye pia amewahi kuhudumu katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo, UNEP na pia Benki ya Dunia anahitimisha utumishi wake katika Umoja wa Mataifa akiwa Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kibinadamu na pia Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA). Katika mazungumzo haya na Anold Kayanda wa Idhaa hii, Joyce Msuya anaanza kwa kuitafari miaka minne aliyohudumu katika nafasi hii.Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC inakumbwa na ugonjwa wa Ebola ambapo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amefika huko na anaeleza sababu. ‘Nimefika hapa kuzieleza jamii za Ituri, Kivu Kaskazini na Kivu kusini kuwa hawako pekeyao, na kwamba tupo hapa kuwaunga mkono, na tunaelewa machungu yao, lakini pia tunafahamu wana nguvu na yote yanayohitajika kukomesha hili. Ninatumia fursa hii kuziomba jumuiya za kimataifa kuongeza usaidizi wao ili wahudumu wa afya waweze kupata vifaa tiba na vya kujilinda na maambukizi.'Kupigwa marufuku watoto kutumia mitandao ya kijamii, si suluhisho la mara moja kwa suala mtambuka lenye sura nyingi, ndio maana hii leo Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk ametaka hatua kali zichukuliwe na kila nchi, pamoja na makampuni ya teknolojia, ili kufanya mitandao ya kijamii kuwa salama zaidi kwa watoto, akisisitiza udhibiti, usimamizi na uwajibikaji unaofaa. Kamishna Türk amesema "Kuimarisha ulinzi wa watoto mtandaoni ni kipaumbele cha dharura ambacho tunahitaji kuhakikisha sio tu kwamba kinafanyika, bali pia kinafanyika ipasavyo,".Na ukatili wa kingono kwenye maeneo yenye migogoro ulifurutu ada mwaka 2025, hii inamanisha kuna ongezeko kubwa la ukatili wa kingono huku wanawake na wasichana ndio idadi kubwa ya waliokumbwa na madhila hayo yaliyohusisha pia waathirika hao kuuawa baada ya kubakwa. Haya yamebainika kwenye ripoti ya ukatili wa kijinsia unaohusiana na migogoro iliyotolewa na Umoja wa Mataifa leo ambayo pia imeonya kuwa kuongezeka kwa matumizi ya kijeshi duniani na kupungua kwa bajeti za misaada ya kibinadamu kulidhoofisha uwezo wa serikali na taasisi kuzuia na kuchunguza ukatili huo wa kingono. Ripoti hiyo imetoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti zaidi za kimataifa pamoja na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa fedha ili kulinda raia, na kuwasaidia manusura wa ukatili wa kingono unaohusiana na migogoro.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

tanzania ebola dunia drc haya unep umoja hii haki kivu katika afya ituri dkt naibu jamhuri mataifa maendeleo mkuu shirika ripoti
Ephesiology [n. ih·fē·zē·äləʒē]: The Study of a Movement

In this episode of the Ephesiology Podcast, Michael T. Cooper and Andrew Johnson introduce Dr. Cooper's seminar, “Let the Stones Speak,” part of the Archaeology Meets Missiology series. The conversation explores five archaeological discoveries that preserve early memories of Jesus across Asia Minor, North Africa, Edessa, and the Arabian Peninsula. From inscriptions and graffiti to apocryphal traditions and Christograms, these discoveries reveal how the early church remembered, proclaimed, and worshiped Jesus, not only through written texts, but also through the material record left behind in stone. Along the way, Michael reflects on the difference between what Jesus did and who Jesus is, showing how archaeology can deepen our understanding of early Christology and encourage the church today. Keywords: Archaeology, Missiology, Ephesiology, Let the Stones Speak, Memory of Jesus, Early Church, Christology, Functional Christology, Ontological Christology, Abgar and Jesus, Edessa, Smyrna, Sardis, Pantokratoros Inscription, Christogram, North Africa, Thugga, Jordan, Arabian Peninsula, Crypto Portico, Archaeological Record, Material Culture, Early Christian Witness, Jesus in Archaeology, Gods Emperors Philosophers and a New Movement Key Takeaways Archaeology preserves early memories of Jesus.The episode highlights how inscriptions, graffiti, letters, and symbols offer physical evidence of how Jesus was remembered and proclaimed in the early centuries of the church. The archaeological record complements the biblical text.Michael emphasizes that while Scripture remains central, material culture provides additional historical evidence for what early Christians believed about Jesus. The early church remembered both what Jesus did and who Jesus is.The conversation introduces the distinction between functional Christology—what Jesus did—and ontological Christology—who Jesus is in his essence. Five discoveries point to the wide geographical reach of Jesus memory.The seminar focuses on evidence from places such as Edessa, Smyrna, Sardis, North Africa, and the desert of Jordan. The Abgar-Jesus tradition reflects a broad and enduring memory.Though apocryphal in nature, the Abgar tradition is significant because of its wide geographical spread across places such as Egypt, Armenia, and Turkey. The Sardis Pantokratoros inscription raises important questions.Michael notes that the inscription may contribute to broader evidence suggesting Christian use of the so-called synagogue at Sardis. The Christogram in North Africa shows how Christian symbols could be overlooked or forgotten.Michael recounts seeing a Christogram dismissed as a sundial, showing how visible Christian memory can remain unrecognized in certain contexts. The Arabian Peninsula may yield more discoveries.The Jordan inscription points toward the possibility of future finds that may further illuminate the presence and memory of Jesus in Arabia. Research continues after publication.Andrew notes that Michael's seminar includes discoveries and developments not fully represented in his book, reminding listeners that scholarship is an ongoing process. Archaeology can be faith-building and encouraging.The episode closes with the reminder that seeing the historical and physical impact of Jesus across regions and centuries can strengthen faith and deepen wonder. Connect With Us Follow Ephesiology: Website | Twitter | Instagram | YouTube Follow Andrew Johnson @thediscfan.bsky.social If this episode encouraged you, please leave a review and share it with others exploring missional living in post-Christian contexts. Thanks for doing theology in community with us today! If you have a question or topic that you'd like to hear addressed on the Ephesiology Podcast, just send it to Andrew at thediscfan@gmail.com. Donate Find the podcast on your favorite podcast app Just search for “Ephesiology” Our Podcasters Michael CooperProfessor | Missiologist | AuthorMichael is the missiologist in residence with East West where he focuses on equipping and empowering church leaders in evangelism, discipleship, leadership, and catalyzing church planting movements in the most difficult to reach places on the planet. He is the author of Ephesiology: The Study of the Ephesian Movement as well as many other books and academic articles. He has lectured at universities around the world and serves as affiliate faculty at Kairos University where he facilitates the degree programs in partnership with Ephesiology Master Classes.Andrew JohnsonMinistry Lead, West Village ChurchAndrew is a proud husband, father and pastor who desires all to know the one true King. He is honored to serve at West Village Church in Victoria, BC. Previously, he's ministered in Houston, Chicago, Indy, Flagstaff and Tempe in a variety of church contexts. Andrew has a BA in Christian Ministry from Trinity International University and an MA from Phoenix Seminary. He is currently a Doctor of Ministry student at Kairos University and is the co-host of the Ephesiology Podcast. When not at work, he's an avid disc golfing, vinyl playing, Spider-Man following/collecting fellow. Go Pacers. Pick up Dr. Cooper’s latest book Religions, politics, and education shaped the cultural world of Asia Minor where a new faith emerged that would change history. Gods, Emperors, Philosophers, and a New Movement uncovers how the earliest Christians navigated—and often disrupted and adapted—the dominant forces of their age. Drawing on decades of research, fieldwork, and teaching, Michael T. Cooper takes readers beneath the surface of Ephesos, Smyrna, Pergamon, and other cities to reveal how temples, inscriptions, and civic spaces illuminate the missionary impulse of the first Christians. Far from being silent, the archaeological record testifies to their resilience, creativity, and bold proclamation of the gospel in a world saturated with competing loyalties. This is more than history. By examining how the early church encountered powerful religious traditions, political ideologies, and systems of education, today's missionaries and church leaders gain fresh vision for gospel engagement in their own pluralistic and contested contexts. The dynamics that shaped mission in the first centuries—identity, power, worldview, and cultural disruption—remain central to how the good news advances today. This book is an invitation to rediscover the mission of God in the archaeological record and to discern its enduring relevance for faithful witness in the twenty-first century. Buy on Amazon Do you enjoy the Ephesiology Podcast? Partner with the Pod The Ephesiology Podcast comes to you from a desire to engage in community conversations about the intersection of theology and culture. We do not believe such dialogue should come with a cost so the podcast will always be free. However, if you've benefited from the Ephesiology Podcast, would you consider a nominal $5 per month donation? All proceeds from the podcast go toward helping bring needed theological education to the majority world through our Ephesiology Master Class initiative to end a theological famine. We'd be honored to partner with you to continue providing solid biblical, theological, and missiological content for listeners around the world. Donate Empowering Future Church Leaders Imagine a world where passionate, equipped Christian leaders spread God's Word in areas with the greatest need—leaders grounded in both deep theology and practical ministry skills, trained to make a lasting impact in their communities. Through your support, this vision can become a reality for students from countries like Malawi, Tanzania, Kenya, Nepal, and India who are eager to teach and multiply disciple-makers in their own regions. Learn More Ephesiology: A Study of the Ephesian Movement If you want to understand principles for the growth of Christianity in the first century, the place to begin is the city of Ephesus. In this winsome study, Ephesiology offers readers a comprehensive view of the empowering work of the Holy Spirit in the most significant city of the New Testament, and compels us to ask the question: how can we effectively connect Christ to our culture? “Masterfully handling the book of Ephesians and using its content as a definitive guide, Michael Cooper lays a theologically strong foundation that is both corrective and directive to disciple making movements. The principles he gleans from the book of Ephesians and related texts, help to ensure the on-going multiplication and maturation of a movement. Because these are supra-cultural principles, they are applicable anywhere in the world.” Marvin J. Newell, Staff Missiologist, Missio Nexus, Author of Crossing Cultures in Scripture Buy This Now! Educating to Shift the Tracks of History To shift the tracks of history requires leaders who are equipped to critically assess and engage the contours of contemporary culture. As a new initiative in collaboration with the Movement Leaders Collective, Kairos University, and Ephesiology, we deliver just-in-time theological education focused on issues important to you, mxAcademy is designed as the theological and missiological foundation to unlock your potential as a movement leader and catalytic thinker. mxAcademy is a dynamic and innovative educational experience rooted in mDNA.We dream of a church fully equipped, fully mature, fully mobilized, and fully alive. A church that lives and breathes the Good News of Jesus! Learn More Join a Community Conversation at Ephesiology Master Classes Areopagus Symposium Taking its inspiration from the historical and philosophical legacy of Athens, Greece, the Areopagus Symposium focuses on intellectual and philosophical topics related to Christology, missiology, and ecclesiology. We invite scholars, theologians, and practitioners from diverse backgrounds to engage in a profound exploration of the theological landscape at the intersection of these vital disciplines. Sign up for an Ephesiology Master Classes account and gain free access to the Areopagus Symposium. Check it out! The Ephesiology Podcast and Ephesiology Master Classes are ministries of TELOS.GO, a registered 501c3 non-profit agency committed to imaginatively missional ways of engageing culture, church planting, and theological education. Your donation to the podcast is tax deductible.

Habari za UN
28 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 28, 2026 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika nchi zinazochangia vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Taifa la Tanzania na Balozi Togolani Idriss Mavura mara baada ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezungumza na Flora Nducha kuhusu suala hili muhimu.“Nataka niwe mkweli; hii ni moja ya changamoto zetu kubwa zaidi. Hatuwezi kufanya kazi hii kama wale wanaojaribu kusaidia wanazuiwa kufanya hivyo, au kuwekwa katika hatari.” Ni sehemu ya barua ya Dkt. Tedros Ghebreyesus, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni, WHO, aliyowaandikia wananchi wa Jamhuri ya Kidemorkasia ya Congo, DRC wakati huu vikwazo kama vile mapigano jimboni Ituri, yanakwamisha harakati za kudhibiti mlipuko wa 17 wa Ebola nchini humo.Vikwazo vingine vya kudhibiti Ebola nchini DRC ni mila. Maki Baraka mkazi wa Beni jimboni Kivu Kaskazini ambako Ebola imeripotiwa mji jirani wa Butembo ana wito.Na Joyce Msuya, Naibu Mkuu wa Ofisi ya UN inayoratibu misaada ya dharura, OCHA anatamatisha jukumu lake baada ya kuhudumu kwa miaka minne. Anold Kayanda amemuuliza anachokumbuka zaidi.Mwenyeji wako ni Leah Mushi, karibu!

MedicalMissions.com Podcast
How to Use (and Not Abuse) Our Power as Healthcare Missionaries

MedicalMissions.com Podcast

Play Episode Listen Later May 27, 2026


The practice of healthcare is inherently powerful, and our patients are vulnerable to our power. Though power can be abused, the righteous use of power, for the benefit of the vulnerable, is profoundly Christlike. We will explore the lessons of power which help us understand our roles, including the fundamental nature of professionalism and key kingdom strategies of healthcare missions.

united states canada australia europe israel china france japan mexico germany africa russia italy ukraine ireland spain north america new zealand united kingdom brazil healthcare south africa iran afghanistan turkey argentina portugal vietnam sweden thailand colombia netherlands iraq venezuela singapore cuba chile switzerland greece nigeria abuse philippines poland reunions indonesia kenya peru south america taiwan norway costa rica denmark south korea finland belgium pakistan austria saudi arabia jamaica syria haiti qatar ghana iceland uganda guatemala ecuador north korea lebanon malaysia nepal romania panama el salvador congo bahamas sri lanka ethiopia hungary morocco zimbabwe dominican republic honduras bangladesh rwanda cambodia uruguay bolivia nicaragua greenland tanzania sudan malta monaco croatia serbia yemen mali bulgaria czech republic senegal belarus estonia somalia madagascar libya fiji cyprus christlike zambia missionaries kuwait mongolia kazakhstan paraguay barbados angola lithuania oman armenia bahrain slovenia luxembourg slovakia belize macedonia namibia sierra leone united arab emirates albania tunisia mozambique laos malawi liberia cameroon azerbaijan latvia niger botswana papua new guinea guyana south pacific burkina faso algeria tonga south sudan togo guinea moldova bhutan maldives mauritius uzbekistan andorra gambia benin burundi grenada eritrea gabon vanuatu suriname kyrgyzstan palau san marino liechtenstein solomon islands brunei tajikistan lesotho seychelles djibouti turkmenistan mauritania timor leste central african republic cape verde nauru new caledonia marshall islands tuvalu kiribati guinea bissau french polynesia equatorial guinea saint lucia trinidad and tobago french guiana comoros bosnia and herzegovina western samoa democratic republic of the congo
Cities and Memory - remixing the sounds of the world
Serengeti central at night: lion pride roaring close

Cities and Memory - remixing the sounds of the world

Play Episode Listen Later May 25, 2026 20:00


A powerful night recording from the heart of Serengeti Central. Listen as a lion pride roars close by—their calls echoing across the plains for up to eight kilometers 4 . Hyenas whoop and cackle in response, while insects create a steady rhythm and night birds call softly. This is the African night at its most raw and wild. Perfect for immersion, study, sleep, or experiencing the true voice of the Serengeti.Recorded in Tanzania by David Joseph.

The THRU-r Podcast
235. International Travel & Hiking The Camino, The Hexatrek & Kilimanjaro With Sandra "MacGyver"

The THRU-r Podcast

Play Episode Listen Later May 23, 2026 48:16


Thru-hiker Sandra D. aka "MacGyver" gives us the rundown of her experience hiking internationally versus hiking in the USA. MacGyver has hiked the Pacific Crest Trail, Tahoe Rim Trail, Hexatrek, Camino, and most recently - up Kilimanjaro in Tanzania. In this episode, we focus on tips and things to keep in mind while traveling and hiking internationally. Listen in for great insight from someone who's done it!In this episode, MacGyver goes into:1. Tips on hiking Kilimanjaro and things to keep in mind as you prepare2. The best resources for researching the Camino3. Solo hiking versus guided hiking, knowing your limits & so much more!Connect & follow along with MacGyver:⁠MacGyver's Instagram⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Did you love this episode? If so, please help fellow hikers find the show by following, rating, and reviewing the podcast on ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Spotify⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠ and ⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Apple Podcasts⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠!Connect With Us:⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Join The Trail Family⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠THRU-r Website⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠THRU-r Instagram⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠THRU-r TikTok⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠THRU-r Facebook⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠THRU-r Youtube⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠THRU-r Threads⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Cheer's YouTube⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Cheer's Instagram⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠⁠Episode Music: "Communicator" by Reed Mathis

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana na matumizi ya neno "PEKEPEKE."

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 22, 2026 0:42


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "PEKEPEKE."

Habari za UN
22 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 22, 2026 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika nchi za Afrika Mashariki ambazo zimezindua Siku ya Ziwa Victoria ambayo maadhimisho yake kwa mara ya kwanza yamefanyika tarehe 21 mwezi huu wa Mei huko Mwanza, kaskazini-magharibi mwa Tanzania. Lengo pamoja na mambo mengine ni kuimarisha vivutio vya utalii. Uzinduzi huu ulitanguliwa na jukwaa la wadau wa Bonde la Ziwa hilo lililohudhuriwa na wadau mbalimbali akiwemo Amon Manyama, Mkurugenzi wa Miradi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP, nchini Tanzania. Rashid Malekela wa Idhaa hii alituwakilisha na amezungumza naye.Pia tunakuletea muhtasari wa habari na ufafanuzi wa neno kama neno "PEKEPEKE."Mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa UNCERF umetoa dola milioni 60 kusaidia muitikio wa kupambana na ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC. Tayari vifaa tiba vimewasilishwa nchini humo na sasa Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO na wadau wengine wanaendelea na usaidizi ikiwemo kuweka vituo vya kuimarisha hatua za kuzuia maambukizi na kuhakikisha utunzaji salama wa wagonjwa..Mwakilishi wa mpya wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Togolani Mavura amewasilisha rasmi nyaraka zake kwa katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres jijini New York Marekani na kueleza yale aliyokuja nayo.shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji IOM limesema fedha zinazotumwa nyumbani na watu waishio ughaibuni au diaspora sasa zimezidi kiwango cha fedha za misaada rasmi ya maendeleo na uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje. IOM imeeleza pia namna diaspora walivyo na msaada mkubwa wakati wa majanga kwa kutuma fedha haraka, huduma na usaidizi kupitia mitandao ya kuaminika katika nchi mbalimbali ikiwemo Somalia, Haiti, Ufilipino na Ukraine.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "PEKEPEKE."Mwenyeji wako ni Assumpta Massoi, karibu!

ukraine kenya haiti uganda tanzania ebola somalia zanzibar undp bonde iom umoja hii kiswahili siku mwanza tayari baraza dkt jamhuri mataifa maendeleo mkuu lengo afrika mashariki shirika mkurugenzi
The Power Of Stories Podcast
Jovia Kusiima, Uganda

The Power Of Stories Podcast

Play Episode Listen Later May 21, 2026 18:37


Jovia Kusiima is a project manager by profession, menstrual justice educator, social impact leader and entrepreneur. Jovia serves as Vice Chairperson of the European Union Delegation to Uganda Youth Sounding Board. She is very passionate about advancing the dignity and accessibility of menstrual justice. In this episode, Jovia discusses aspects of menstrual justice, including freedom from shame and discrimination, access to pads and safe, clean places to change and discard them, and access to clean water… period poverty and its impact on school attendance… questioning the distribution of free condoms but not free sanitary pads… an auntie who experienced gender-based violence because she asked for pads... fighting to eliminate taxes on pads… the need for menstrual leave in workplaces… building her confidence to speak about dignity, access, and equity… as a project manager, having the  opportunity to work with health workers in the Ministry of Health in Uganda… the importance of monitoring and program evaluation… the opportunity to go to the East African Parliament of Tanzania… being inspired by Lillian Bagala… her transition into a youth leader who speaks about menstruation and menstrual justice in the Parliament at the national level… and her call to action for us all, “We need to keep on sharing our lived realities and stories. Why? Because when people really share their lived experiences, they shift how others understand issues. Storytelling turns private struggles into public awareness. We, as advocates or young people or women, really need to have turned our voices into action. Speaking is powerful, but pairing it with action makes it stronger.”

RepcoLite Home Improvement Show
5 Can't-Lose Home Improvement Projects for Your Forever Home

RepcoLite Home Improvement Show

Play Episode Listen Later May 21, 2026 39:54


Episode SummaryThis week on Home In Progress, Dan opens with something a little different -- a look at the animal kingdom's most surprising builders and tool users, and what any of us can take from that. Then he gets into the main topic: the growing number of homeowners who've decided they're staying put, and what that shift in thinking should mean for how you spend renovation dollars. Dan walks through five can't-lose projects for the forever home, including some smaller-scale, paint-friendly versions of each one for when the budget isn't there yet. He closes with four questions that can help you figure out which project is actually the right first move for your specific house.In This Episode[00:00] -- Welcome and Teaser[00:34] -- Animals Using Tools (and What That Has to Do With You)[05:35] -- The Forever Home Mindset[09:59] -- Project 1: Outdoor Living Space[13:21] -- Project 2: Kitchen Refresh[19:25] -- Project 3: Windows, Insulation, and Air Sealing[24:36] -- Project 4: Basement Upgrade[30:50] -- Project 5: Primary Bathroom[33:46] -- Four Questions to Find Your Best First Project[38:53] -- Paint, Final Thoughts, and Wrap-UpSegment 1: Animals Using Tools [00:34]Dan opens with a fun detour into the animal kingdom. Turns out humans aren't the only ones who build things, use tools, and pass down traditions.Termites [01:09] -- Termite mounds can rise more than 20 feet in the air with walls 18 inches thick. Inside, they're honeycombed with tunnels, chambers, and air channels that regulate temperature and humidity like a built-in HVAC system. Architects have actually copied the design. The Eastgate Centre in Zimbabwe, designed by Mike Pearce, uses passive cooling modeled directly on termite mounds and consumes about 90% less energy for ventilation than a comparable conventional building.Sea Otters and Chimps [02:07] -- Otters float on their backs, rest a stone on their belly, and smash open clams and mussels against it. Some otters even have a favorite rock they carry tucked in a pouch of loose skin under their arm so it's always handy. Chimpanzees strip leaves off twigs and use them to fish termites out of mounds. The more interesting part: different chimp communities in the same forest have entirely different tool traditions, passed down like family recipes. In Tanzania, two neighboring groups both fish for termites with sticks, but one group consistently makes their tools wider and longer than the other. In Senegal, one community has invented something no other chimps on earth do -- they make actual spears, sharpening the tips with their teeth and using them to hunt.Crows and Elephants [03:55] -- In a famous Oxford experiment, a crow named Betty was given two pieces of wire, one bent into a hook and one straight. Her cage mate stole the hook. Betty took the straight wire, jammed it into a crack, bent it into a hook on her own, and used it to fish meat out of a tube. She did it nine out of ten times when the scenario was repeated. Asian elephants snap branches off trees, strip them down, and shorten them to just the right length for swatting flies. They're not using whatever's lying around -- they're modifying the tool to fit the job.The Takeaway [04:51] -- If termites with brains the size of a grain of salt can engineer a skyscraper, and crows can fabricate hooks on the fly, and otters are basically one step away from a tool belt, whatever you're telling yourself you can't learn probably isn't as true as you think.Segment 2: The Forever Home Mindset and 5 Can't-Lose Projects [05:35]Why People Are Staying Put [06:10]Dan poses a question to start: if you knew without a doubt you were never moving from the house you're in right now, what would you change first?That question is reshaping how a lot of homeowners think about renovation right now. Homeowner spending on home improvements is projected to hit $518 billion in 2026, and it's not being driven by the luxury market or house flippers. It's regular homeowners who've decided they're staying. According to the Harvard Joint Center for Housing Studies and a 2026 survey from Great Day Improvements, nearly two-thirds of homeowners expect to be in their current home for 11 years or more. And 44% of homeowners now describe where they live as their forever home.If you bought or refinanced around 2020 or 2021 at 3% or lower, you already know why nobody's moving. A 7% mortgage waiting on the other side of a sale has a way of making your current house look a lot better.When that's the context, the renovation calculus changes. You stop asking what a future buyer will want and start asking what will actually make your family's life better for the next decade or more. That shift changes everything about where renovation dollars go.Project 1: Outdoor Living Space [09:59]West Michigan winters get all the complaints, but the springs, summers, and falls are genuinely great. If you're staying in your home, it pays to think about how much of that you're actually using.Dan's honest about his own situation here: his deck has no seating, nobody ever uses it, and they're wasting dozens of evenings out there every year just by not having the space set up. The vision for this project can be as big as a covered pergola, an outdoor kitchen, a hot tub area with weather-safe TV and speakers -- spaces that function as actual rooms. The return on that isn't measured in resale dollars. It's measured in summer evenings with your family.Paint-friendly version: If the bigger build-out isn't in the budget, start smaller. Get the deck cleaned up and restained. Get dedicated seating out there. If you've already got wood or metal chairs that have seen better days, RepcoLite can usually help you get them cleaned up and looking good again. Create a space that actually invites you to sit down.Project 2: Kitchen Refresh [13:21]The kitchen is where most families spend an enormous amount of time, almost all of it either cooking, cleaning, or entertaining. A kitchen that looks good and functions well makes daily life easier in ways that are hard to overstate.Dan talks through what a refresh can include: painting or refacing cabinets, new countertops, updated hardware, a new sink and faucet, new appliances, updated lighting, new floors. Some of those things aren't cheap. But the payoff comes from 300-plus dinners a year in a space that doesn't make you feel bad every time you walk into it.Dan's own kitchen confession [15:33]: '80s oak cabinets he doesn't like, dated hardware, a track light that's a direct import from the same decade with shiny brass everything and two or three working bulbs, Formica counters that have lost most of their original color. He's not proud of it. He knows it drags him down. He also knows it doesn't have to, and that a couple of weeks of work would change most of it.Paint-friendly version: Painting the cabinets and updating the colors is one of the highest-impact, most budget-friendly changes you can make in a kitchen. Pair that with better lighting and some new hardware, and you can dramatically lift the mood of a space without touching the counters or the layout.Project 3: Windows, Insulation, and Air Sealing [19:25]Older homes lose a significant amount of heat through inefficient windows, attics, rim joists, and basement walls. Every year you stay in the house, you're paying for that inefficiency. Replacing outdated windows with modern low-E glass triple-pane units, combined with serious air sealing and insulation in the attic, is one of those projects that starts paying you back the day it's done.The payback isn't just in lower heating bills, though that's real and measurable. It's also in comfort. Eliminating drafts, keeping warm spaces warmer and cool spaces cooler -- that changes how you feel about being inside your own home.Dan is careful not to oversell the financial return. Windows alone don't always pay for themselves quickly in energy savings. Insulation and air sealing tend to give you better bang for your buck on the utility side. But when you're in your forever home and you're not doing the math on resale, the calculation shifts. It becomes less about payback period and more about making the house a more comfortable place to live every single day.Dan also mentions a past show segment on opening painted-shut windows from 2024, and will link to it in the show notes for anyone dealing with that specific problem.Paint-friendly version: You can't make old windows more efficient with paint. But you can improve how they look and feel. Getting painted-shut windows functioning again doesn't cost much and doesn't require much more than some know-how. Dan's got that covered in the 2024 segment linked below.Project 4: Basement Upgrade [24:36]Almost every West Michigan home has a basement. A surprising percentage of them are being used for storage and not much else. A finished basement adds livable square footage without changing the footprint of the house, and it grows with you -- a playroom becomes a teenage hangout space becomes a home gym as the years go by.Dan's current lower level is wall-to-wall paneling, drop ceiling tiles, and carpet, all from the '80s. It works. The kids have used it. It's served its purpose. But there's a lot more potential there.Paint-friendly version: This is one where paint can genuinely transform a space on a fraction of the budget of a full finish-out. Dan tells the story of doing exactly this in his first house -- a dark, dingy Michigan basement that nobody...

Planet Money
Vacation and why Americans take so little

Planet Money

Play Episode Listen Later May 20, 2026 25:09


Do you work more for more money? Or work less for more time? For some, this is the ultimate economic choice. Every single worker in the European Union is guaranteed four weeks of paid vacation. No matter how long they've been at a company. No matter how low paying the job is. Vacation is a right. In fact, all but one of the richest countries in the world guarantees paid vacation, except: the U.S. According to a 2019 study, people in Japan get 10 paid vacation days and 15 paid holidays; in Australia it's 20 paid vacation days and 8 paid holidays; and in Spain it's 25 paid vacation days and 14 paid holidays. And it's not just a rich country thing: Mexico, Afghanistan, Thailand, Tanzania - they all guarantee paid vacation from work, at least in the formal job sector. In the U.S: Zero paid vacation days and zero paid holidays. So, why is the United States the outlier? We go to several labor economists and historians, to find out what makes Americans different from Europeans. It's a winding journey, so maybe put in a request for some paid time off and take a listen!Note: This episode originally ran in 2023.Some articles we mention in this episode:“No Vacation Nation”“Study: A Record 768 Million U.S. Vacation Days Went Unused in ‘18, Opportunity Cost in the Billions”“Why the US is one of only a few countries with no paid time off”This episode was hosted by Sarah Gonzalez, produced by Sam Yellowhorse Kesler, edited by Jess Jiang, engineered by Maggie Luthar, and fact-checked by Sierra Juarez. Alex Goldmark is our executive producer. Book info. / Subscribe to Planet Money+Listen free: Apple Podcasts, Spotify, Google Podcasts, NPR One or anywhere you get podcasts.Find more Planet Money: Facebook / Instagram / TikTok / Our weekly Newsletter.See pcm.adswizz.com for information about our collection and use of personal data for sponsorship and to manage your podcast sponsorship preferences.NPR Privacy Policy

Habari za UN
20 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 20, 2026 9:58


Hii leo kwenye Jarida la Habari tuna Muhtasari na Mada kwa Kina.MUHTASARIOngezeko la idadi ya wagonjwa wa Ebola nchini DRCUmuhimu wa kushirikisha jamii kwenye udhibiti wa Ebola Mpango wa Tanzania wa kukabiliana na makazi duniMADA KWA KINAInaangazia uchambuzi wa ripoti ya uanishaji wa upatikanaji wa chakula nchini Tanzania ambapo tumezungumza na Afisa kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO) katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Hali iko vipi ? na nini kinafanyika kusaidia waliokumbwa na uhaba wa chakula.Msomaji wako leo ni Rashid Malekela 

tanzania ebola kina umoja hii habari mataifa afrika mashariki muhtasari
MedicalMissions.com Podcast
How Compassion, Technology, and Innovation Empower Health Equity in Resource-Limited Contexts

MedicalMissions.com Podcast

Play Episode Listen Later May 20, 2026


Transforming healthcare delivery in resource-limited contexts around the world calls for compassionate, innovative solutions. Learn how The Luke Commission is bringing healthcare to the most isolated and underserved in Eswatini through a scalable model for advancing health equity.

united states women canada children australia europe israel china mental health education technology prayer france japan mexico germany africa russia italy ukraine innovation ireland spain north america new zealand united kingdom brazil south africa compassion iran afghanistan turkey argentina high school portugal vietnam sweden medical thailand colombia transforming netherlands iraq venezuela singapore cuba chile switzerland greece nigeria philippines poland reunions indonesia kenya peru urban south america taiwan norway costa rica denmark south korea finland belgium pakistan austria saudi arabia empower jamaica syria haiti diabetes qatar ghana limited iceland uganda guatemala ecuador north korea lebanon malaysia nepal romania panama rural nursing el salvador congo bahamas sri lanka ethiopia hungary morocco zimbabwe dentists dominican republic honduras social work bangladesh rwanda cambodia uruguay bolivia nicaragua greenland tanzania sudan malta monaco croatia pharmacy serbia yemen physical therapy mali bulgaria disabilities czech republic senegal belarus pediatrics hiv aids dental estonia somalia madagascar libya fiji cyprus zambia kuwait mongolia kazakhstan paraguay barbados angola lithuania oman armenia economic development infectious diseases bahrain slovenia luxembourg slovakia belize macedonia namibia sierra leone united arab emirates plastic surgery albania tunisia internal medicine mozambique laos malawi liberia cameroon azerbaijan latvia niger surgical botswana midwife papua new guinea guyana south pacific emergency medicine burkina faso nurse practitioners pathologies algeria tonga south sudan internships togo guinea telemedicine moldova family medicine community development bhutan sustainable development maldives mauritius uzbekistan health equity andorra gambia benin tuberculosis occupational therapy burundi grenada eritrea radiology medical education gabon anesthesia vanuatu suriname kyrgyzstan palau san marino physician assistants liechtenstein ophthalmology undergraduate solomon islands brunei tajikistan lesotho seychelles trauma informed care djibouti turkmenistan contexts mauritania optometry timor leste disease prevention central african republic cape verde nauru new caledonia marshall islands eswatini audiology tuvalu critical care medicine kiribati guinea bissau french polynesia preventative medicine general surgery equatorial guinea nursing students dental hygienists allied health saint lucia orthopaedic surgery trinidad and tobago french guiana comoros advanced practice sexually transmitted infections dental assistants bosnia and herzegovina health information technology dental student nurse anesthetist ultrasonography western samoa democratic republic of the congo hospice and palliative medicine
The Discovery Pod
Redefining What Social Profit Innovation Looks Like With Dr. Karlee Silver, President & CEO, Grand Challenges Canada

The Discovery Pod

Play Episode Listen Later May 20, 2026 31:21


In the social profit sector, solving the world's “knottiest problems” requires more than just good intentions—it demands true social profit innovation. But what happens when proven, life-saving solutions exist, yet never reach the millions who need them most?In this episode, we sit down with Dr. Karlee Silver, President and CEO of Grand Challenges Canada, an organization that has marshaled over $500 million to support game-changing ideas, touching 100 million lives globally. Dr. Silver challenges the conventional view of innovation, defining it as a broad spectrum that includes social and business ingenuity—not just technology.Discover their unique platform approach, which focuses on identifying critical barriers and mastering the discipline of making the best next investment to move an innovation along. From attracting “unusual suspects” like an Argentine car mechanic who developed a life-saving birth tool, to building a nationally owned “Uber ambulance” system in Tanzania, learn how Grand Challenges Canada systematically de-risks bold ideas so they can achieve massive, sustainable impact at scale.The advice and conversation can be applied to social profit organizations across the country and the globe, offering a blueprint for redefining what social profit innovation looks like.

Pursuit With Cliff - Cliff Gray
What POACHING in AFRICA Actually Looks Like - Craig Doria

Pursuit With Cliff - Cliff Gray

Play Episode Listen Later May 18, 2026 127:42 Transcription Available


Craig Doria spent 30 years in Africa as a professional hunter in addition to running two anti-poaching operations in Zambia and Tanzania. He's also just written Bateleur, a suspense thriller built on all of it. We cover what poaching actually looks like from the inside: the subsistence guy with a muzzleloader trying to feed his kids, the 150-snare line bisecting the wildebeest migration corridor, the zebra hide operation running skins through a cattle tannery and across borders, and the ivory networks.From there we get into buffalo hunting (Craig's pick for the best hunting still available — hundreds of hunts, multiple close calls), elephant hunting and the weight it carries, two helicopter crashes during anti-poaching operations, and a closing conversation about what happiness really looks like when you've spent your life tracking wounded buffalo through thick bush — and what you give up to get it.Craig Doria — Professional hunter (Zambia, Tanzania, Zimbabwe), anti-poaching operator, Author of Bateleur (Whistling Thorn Press).Available on Amazon (hardcover and Kindle) https://amzn.to/3RMGGcYSigned copies direct: craig.doria@gmail.com | craigdoriasafaris.com---FOLLOW CLIFFYouTube - https://www.youtube.com/c/CliffGrayInstagram - https://www.instagram.com/Cliffgry/Facebook - https://facebook.com/PursuitWithCliffPursuit With Cliff Podcasthttps://pursuitwithcliff.com/interviews-and-podcasts/Cliff's Hunt Planning and Strategy Membership https://pursuitwithcliff.com/membership/Hunt. Fish. Spear.  (Experiences, Courses and Seminars) https://pursuitwithcliff.com/ExperiencesMerchhttps://pursuitwithcliff.com/shop/SUBSCRIBE TO CLIFF'S NEWSLETTER:https://PursuitWithCliff.com/#Newsletter

PCICS Podcast
PCICS Podcast Episode 154: CHD Global Partnership with Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Tanzania.

PCICS Podcast

Play Episode Listen Later May 18, 2026 41:59


Please join special guests Heather Viamonte, MD (CHOA/Emory), Fawaaz Shaw, MD (CHOA/Emory) and Virginia Horan, PA (Intermountain Health/U. Utah) discussing the bidirectional partnership with Global Health Office of Pediatrics at Emory (GHOPE) and Jakaya Kikwete Cardiac Institute, a public national specialized cardiovascular teaching and research hospital within Muhimbili National Hospital affiliated with Muhimbili University of Health and Allied Sciences in Dar es Salaam, Tanzania. They speak to the collaboration and partnership in support guideline development and education simulation of critical care of children with congenital heart disease generously funded by Thoracic Surgical Foundation, Every Heart Beat Matters Award. Host and Editor: Gina Patel, MD (CHOA/Emory). Co-host and Producer: Saidie Rodriguez, MD (CHOA/Emory). Sponsor: Alabama Children's

The Greatness Machine
429 | Trillionaires in Tanzania

The Greatness Machine

Play Episode Listen Later May 15, 2026 24:19


What happens when the poorest people on earth get access to the richest content in the world? In this solo episode of The Greatness Machine, Darius shares what he observed in rural Tanzania, including rising rates of domestic violence, substance abuse, and unwed mothers, and the surprising correlation that local nonprofit workers on the ground have tied it to: smartphones and social media. For the first time, people with very little are now watching people with everything, and the psychological fallout mirrors what we see in the Western world more than anyone wants to admit. Darius also revisits his own "compare despair" moment after meeting Elon Musk backstage at South by Southwest in 2018, where, despite running a multi-hundred-million-dollar company, he walked away feeling like a failure. The lesson? Comparison is a global disease, and the antidote is not competition. It is partnership, purpose, and learning to measure yourself against yourself. In this episode, Darius will discuss: (00:00) Trillionaires in Tanzania: An Introduction (02:32) Experiencing Poverty and Joy in Tanzania (05:32) The Impact of Social Media on Local Communities (08:05) Comparative Despair: A Global Issue (10:43) Personal Reflections on Comparison and Success (16:27) Rethinking Value and Community in a Comparative World Connect with Darius: Website: https://therealdarius.com/ Linkedin: https://www.linkedin.com/in/dariusmirshahzadeh/ Instagram: https://www.instagram.com/imthedarius/ YouTube: https://www.youtube.com/@Thegreatnessmachine  Book: The Core Value Equation https://www.amazon.com/Core-Value-Equation-Framework-Limitless/dp/1544506708 Write a review for The Greatness Machine using this link: https://ratethispodcast.com/spreadinggreatness.  Learn more about your ad choices. Visit megaphone.fm/adchoices

Habari za UN
15 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 15, 2026 10:40


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Tanzania kwa Chama cha Wanawake Majaji, (TAWJA) ambacho kimetambua pengo la upatikanaji wa haki hususan kwa wanawake na wasichana na tunasikia hatua zinazochukuliwa kuziba pengo hilo kutoka kwa mwenyekiti wake, Barke Sehel ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa. Pia tunakuletea mhtasari wa habari kama zifuatazo..Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus ametangazwa kwa mara nyingine kugundulika kwa virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC katika jimbo la Ituri lililoko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.  Hii ni mara ya 17 kwa mlipuko wa Ebola kutokea DRC tangu kugunduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1976. Wagonjwa 13 vimethibitishwa na taasisi ya utafiti wa tiba ya INRB mjini Kinshasa. Dkt. Tedros amesema tayari wametuma wataalamu, vifaa tiba na ameruhusu kutolewa kwa dola laki tano kusaidia kudhibiti mlipuko huo na kuwahudumia wagonjwa.Hali ya kibinadamu nchini Somalia inazidi kuwa mbaya kuliko ilivyotarajiwa hapo awali. Akuzungumza na waandishi wa habari mjini Geneva Uswisi afisa mkuu wa misaada wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia George Conway amesema “Hivi sasa Takriban watu milioni sita nchini Somalia amba ni sawa na mtu mmoja kati ya sita anakabiliwa na njaa ikimaanisha kuwa anaruka muda wa kula chakula, au anaenda siku kadhaa bila chakula cha kutosha. Watoto ndio wanaolipa gharama kubwa zaidi. Karibu watoto milioni mbili wana utapiamlo mkali, ikimaanisha kuwa wana utapiamlo mbaya na dhaifu kimwili, na hivyo kuwaweka katika hatari kubwa ya kuugua au kufa.”.Na leo ni siku ya Kimataifa ya Familia, Umoja wa Mataifa unasema maadhimisho ya mwaka huu yanaangazia jinsi umaskini, ukosefu wa huduma muhimu na msaada mdogo wa malezi vinavyoathiri familia na kudhoofisha maendeleo bora ya watoto. Maadhimisho ya mwaka huu yanaweka mkazo maalum kwenye hatua jumuishi za ulinzi wa kijamii kama vile ruzuku za watoto, likizo za uzazi zenye malipo, huduma nafuu za malezi ya watoto na elimu ya awali kwa watoto wadogo.Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu!

Destination Terror
Lake Natron - Tanzania's Blood-Red Water That Turns Animals to Stone

Destination Terror

Play Episode Listen Later May 13, 2026 27:52


In Northern Tanzania, a blood-red lake with a mirror-perfect surface lures birds to their deaths—then preserves their bodies as calcified statues. Lake Natron's caustic waters can burn human skin in seconds, reach temperatures of 140°F, and have a pH almost as high as ammonia. Yet millions of flamingos breed here, protected by water so toxic it kills everything else that touches it. When photographer Nick Brandt discovered the lake's shoreline littered with petrified birds frozen in lifelike poses, the world learned about nature's most beautiful death trap. The Maasai call the nearby volcano Ol Doinyo Lengai—the Mountain of God. But what lives in the water beneath it isn't divine. It's something that has been collecting the dead for thousands of years, preserving them perfectly, waiting for the next creature to mistake its mirror surface for open sky. #LakeNatron #Tanzania #DestinationTerror #CalcifiedAnimals #DeadlyLake #BloodRedWater #OlDoinyoLengai #EastAfrica #Maasai #Flamingos #NickBrandt #PetrifiedBirds #AlkalineLake #SodaLake #NaturalMummification #ExtremeLakes #GreatRiftValley #DarkTourism #HauntedAfrica #EeriecastNetwork #CarmanCarrion EXPLORE MORE SPINE-CHILLING CONTENT: Freaky Folklore: https://www.eeriecast.com/podcasts/freaky-folklore Carman's Crypt (Original Horror): https://www.carman-carrion.com/ Deadly Intent (True Crime): https://www.carman-carrion.com/ Destination Terror: https://www.eeriecast.com/podcasts/destination-terror SUPPORT THE SHOW: Patreon (Ad-Free + Bonus Content): https://www.patreon.com/c/CarmanCarrion Buy Me a Coffee: https://buymeacoffee.com/carmancarrion CONNECT WITH CARMAN: Website: https://www.carman-carrion.com/ YouTube: https://www.youtube.com/@CarmanCarrion Twitter/X: https://x.com/CarmanCarrion Instagram: https://www.instagram.com/carmancarrion/ SUBSCRIBE & REVIEW: Spotify: https://open.spotify.com/show/0uiX155WEJnN7QVRfo3aQY iTunes: https://podcasts.apple.com/us/podcast/freaky-folklore/id1550361184 Your support helps bring you more terrifying tales. DISCOVER MORE HORROR: http://eeriecast.com/ https://www.carman-carrion.com/ THE CRYPT SHOP: https://the-crypt-shop-2.myshopify.com/ MUSIC CREDITS: Music and sound effects provided by: CO.AG, Myuu, Jinglepunks, Epidemic Sound, Kevin MacLeod, Dark Music, and Soundstripe.   Learn more about your ad choices. Visit podcastchoices.com/adchoices

Crypto Altruism Podcast
Episode 251 - From Savings Circles to Smart Contracts: Building Digital Infrastructure for Community Finance in Tanzania, with NEDA Labs and The Solar Foundation

Crypto Altruism Podcast

Play Episode Listen Later May 13, 2026 54:56 Transcription Available


For episode 251 of the Crypto Altruists podcast, we're excited to welcome David Machuche and Victor Muhagachi of NEDA Labs, and special Co-Host Jon Ruth of The Solar Foundation, for the final episode of our series exploring the Solar Savings Circles pilot in Tanzania. Today we go under the hood and explore the technology layer behind this partnership.In today's episode you'll discover:

Habari za UN
UNDPTanzania yajengea uwezo wasaidizi wa kisheria 126 kisiwani Pemba, ili kutatua migogoro kwa njia mbadala

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 13, 2026 2:48


Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) nchini Tanzania, limetoa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wa kutatua migogoro kwa njia mbadala (ADR), wasaidizi wa kisheria 126 kutoka kisiwani Pemba, Zanzibar ili kusogeza huduma za kisheria karibu na jamii na kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani. Rashid Malekela na taarifa zaidi.

Habari za UN
13 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 13, 2026 9:59


Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe wa António Guterres hii leo huko Addis Ababa nchini Ethiopia, wanawake wanaowasili Ulaya kufuatia ukeketaji wa lazima katika nchi zao, na mafunzo ya kutatua migogoro kwa njia mbadala Zanzibar.Huu ndio mkutano wangu wa mwisho kama Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema António Guterres, baada ya mkutano wa 10 wa pamoja wa Muungano wa Afrika na Umoja wa Mataifa hii leo huko Addis Ababa, Ethiopia, huku akijinasibu kuwa ushirikiano kati ya vyombo hivyo  wakati wa kipindi chake cha miaka 10 umekuwa moja ya mifano imara ya ushirikiano thabiti wa kimataifa.Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) nchini Tanzania, limetoa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wa kutatua migogoro kwa njia mbadala (ADR), wasaidizi wa kisheria 126 kutoka kisiwani Pemba, Zanzibar ili kusogeza huduma za kisheria karibu na jamii na kupunguza mrundikano wa kesi mahakamani.Wanawake wengi wahamiaji na wakimbizi kutoka Afrika wanaowasili barani Ulaya wakisaka usalama na maisha bora hujikuta wakikabiliwa na majeraha ya kiwewe, changamoto za lugha na kutengwa kijamii. Nchini Ujerumani, shirika lililoanzishwa na wakimbizi, la AfroKids International, linafanya kazi ya kuwapa matumaini na msaada wanawake hao, hususan manusura wa ukeketaji au FGM. Akizungumza na Flora Nducha Idhaa hii kandoni mwa mkutano wa 70 wa Kamisheni ya Hali ya Wanawake Duniani CSW70 uliomalizika mwezi uliopita hapa Umoja wa Mataifa, Farina Gorma afisa mkuu wa shirika hilo la kimataifa katika ofisi ya Stuttgart amesema wanawake wengi wanaowasili Ulaya hukumbana na mtihani hasa wa kupata huduma za afya, msaada wa kisheria na usaidizi wa kisaikolojia..Mwenyeji wako ni Anold Kayandai, karibu!

MedicalMissions.com Podcast
Cultural Distress and the Physiological Response

MedicalMissions.com Podcast

Play Episode Listen Later May 13, 2026


What is cultural distress? It is a negative response rooted in a cultural conflict where the patient lacks control over their situation. It results in more physiologic effects on the body resulting in allostatic overload. To prevent this, healthcare practitioners must use strategies such as cultural humility to help patients navigate healthcare. Come find the best ways to deliver culturally sensitive care in any setting.

united states women canada children australia europe israel china education prayer france japan mexico germany africa russia italy ukraine ireland spain north america new zealand united kingdom brazil south africa nutrition iran afghanistan turkey argentina portugal vietnam sweden medical cultural thailand muslims colombia netherlands iraq venezuela singapore cuba chile switzerland greece nigeria philippines poland reunions indonesia kenya peru urban south america taiwan norway costa rica denmark south korea finland belgium pakistan austria saudi arabia jamaica public health syria haiti qatar ghana iceland uganda guatemala ecuador north korea buddhist lebanon malaysia nepal romania panama rural nursing el salvador congo bahamas sri lanka ethiopia hungary morocco zimbabwe dentists dominican republic honduras psychiatry social work bangladesh rwanda cambodia uruguay bolivia nicaragua greenland tanzania sudan malta hindu monaco croatia pharmacy serbia yemen physical therapy mali bulgaria czech republic senegal belarus pediatrics dental estonia chiropractic tribal somalia distress madagascar libya fiji cyprus zambia kuwait mongolia kazakhstan paraguay neurology barbados angola lithuania oman armenia infectious diseases bahrain slovenia luxembourg allergy slovakia belize macedonia sports medicine namibia sierra leone united arab emirates plastic surgery albania tunisia internal medicine mozambique laos malawi liberia cameroon azerbaijan latvia niger surgical botswana midwife oncology papua new guinea guyana south pacific emergency medicine burkina faso nurse practitioners pathologies algeria tonga south sudan togo guinea cardiology moldova family medicine community development bhutan maldives mauritius uzbekistan dermatology andorra paramedic gambia benin dietetics occupational therapy burundi grenada naturopathic eritrea radiology medical education gabon anesthesia vanuatu suriname kyrgyzstan palau endocrinology physiological san marino health education physician assistants liechtenstein ophthalmology gastroenterology environmental health solomon islands brunei tajikistan lesotho seychelles trauma informed care djibouti turkmenistan refugee crisis mauritania optometry athletic training rheumatology timor leste central african republic cape verde nauru new caledonia marshall islands healthcare administration audiology tuvalu critical care medicine kiribati guinea bissau nephrology french polynesia preventative medicine general surgery equatorial guinea speech pathology nursing students dental hygienists allied health saint lucia orthopaedic surgery trinidad and tobago french guiana comoros advanced practice pulmonology dental assistants cardiothoracic bosnia and herzegovina health information technology respiratory therapy unreached people groups nurse anesthetist ultrasonography western samoa democratic republic of the congo hospice and palliative medicine aviation medicine domestic missions epidemology
Business Daily
How US funding cuts are reshaping aid in Africa

Business Daily

Play Episode Listen Later May 12, 2026 23:27


How has the development and aid sector in Africa adapted in the 15 months since the Trump administration started closing USAID? Have predictions of mortalities come to pass, and how can the funding gaps be filled? We hear from the people who used to be in charge of multi-billion-dollar budgets, as well as those receiving funds on the front lines of the HIV crisis in Tanzania.Presenter: Ed Butler Producer: Josh Martin(Picture: 29-year-old Rashida Musa tends to her sick child who was sent home from the hospital due to malnutrition following the aid cut by the United States Agency for International Development (USAID) in Tudun Gambo, Bauchi State, Nigeria, May 8, 2025. Credit: REUTERS/Sodiq Adelakun)

Habari za UN
Jifunze Kiswahili: Maana ya neno “Payapaya.''

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 12, 2026 1:02


Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania anafafanua maana ya neno “Payapaya.''

The Move Abroad Coach Podcast
#167 It's Never About the Dryers (The Scapegoats You're Using to Sabotage Your Move Abroad)

The Move Abroad Coach Podcast

Play Episode Listen Later May 12, 2026 32:43


Are you sabotaging your move abroad with excuses about why it's not “perfect?” Moving abroad isn't just about the benefits. It's also about the adjustments. Today, I'm talking about the surprisingly emotional “dryer moment” that happens when you realize your dream country isn't perfect… and why that's actually a good thing.In this episode: Why a conversation about clothes dryers in Spain sparked a much bigger realizationThe hidden fear behind “downgrades” like smaller housing, bureaucracy, or different conveniencesHow social media often sells the fantasy of moving abroad without the realityLessons I learned living in China, Georgia, and Spain that made me more resilient and adaptableWhy “better, not perfect” is the mindset that leads to a successful move abroadHow fear and perfectionism can sabotage your decision-making processWhy people who thrive abroad acknowledge the tradeoffs (and move anyway)No country is perfect, including the U.S. The goal isn't to find perfection, it's to find a life that aligns better with your values, priorities, and vision for the future.Subscribe and ReviewIf you loved this episode, please take a moment to subscribe and leave a review on Apple Podcasts! Your support helps us reach more visionaries who need these insights.

Habari za UN
12 MEI 2026

Habari za UN

Play Episode Listen Later May 12, 2026 9:58


Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Côte d'Ivoire ambako wakulima wameshuhudia kuimarika taratibu kwa uzalishaji wa kakao baada ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO kusaidia wakulima nchini humo kurejesha ardhi katika ubora wake na kuongeza uzalishaji kupitia mbinu endelevu za kilimo mseto cha misitu, mazao na mifugo..Afrika imekuwa mstari wa mbele kushinikiza mfumo mpya wa kifedha unaozingatia usawa kwa nchi zinazoendelea. Na leo katika mkutano wa kuangazia mustakbali wa Afrika, Africa Forward huko Nairobi nchini Kenya, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amezipongeza nchi za Afrika kwa kuongoza juhudi hizo za mageuzi ya mifumo ya fedha duniani. Kuhusu utajiri wa madini yanayopatikana Afrika kunufaisha nchi nyingine nje ya bara hilo Guterres amesema “Hakuna tena unyonyaji wala uporaji. Watu wa Afrika lazima wanufaike kwanza, na zaidi kutokana na rasilimali za Afrika.”.Taarifa mpya kuhusu virusi vya hanta ni kwamba hadi sasa wagonjwa walioripotiwa ni 11, na watu watatu wamefariki dunia. Kati ya wagonjwa hao, tisa wamethibitishwa kuwa na virusi vya Andes huku wawili wakihesabika kuwa wagonjwa wanaoshukiwa lilesema shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO. WHO pia wameipongeza serikali ya Hispania kwa ushirikiano wake katika mchakato mzima wa kuwaondoa salama na kuwarejesha makwao abiria takriban 150 kutoka nchi 23 waliokuwa katika meli ya kitalii ya MV Hondius ambapo humo ndio mlipuko wa hanta ulipotokoea.ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyochapishwa hivi karibuni kuhusu Malengo ya Misitu Duniani, Global Forest Goals kwa mwaka 2026 ikieleza bayana kuwa misitu ina mchango mkubwa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, kuhifadhi bioanuwai, kuimarisha uhakika wa chakula na kusaidia maisha ya mamilioni ya watu duniani. Nchini Kenya mkazi mmoja ameeleza bayana jinsi wanavyonufaika na msitu asili wa Ngong ulioko takribani kilometa sita kutoka mji mkuu Nairobi.Na katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania anafafanua maana ya neno “Payapaya''Mwenyeji wako ni Rashid Malekela, karibu!

Investing in Regenerative Agriculture
421 Janet Maro — Farmers are the architects, not the audience

Investing in Regenerative Agriculture

Play Episode Listen Later May 8, 2026 53:36 Transcription Available


When Janet Maro started building training programs with farmers in Tanzania, she didn't arrive with a curriculum. She asked farmers what they knew, what they needed, and what they could bring to the table — and built from there. That instinct, to treat farmers as the architects rather than the audience, turns out to explain most of what makes Sustainable Agriculture Tanzania unusual: why groups keep meeting and planning years after projects end, why an organic shop opened in Morogoro in 2012 has since seeded eight more across the country, and why a conflict between Maasai pastoralists and smallholder farmers that had turned violent was resolved not through outside intervention but through a simple exchange of manure and crop residues, negotiated by the communities themselves.Thoughts? Ideas? Questions? Send us a message!LARIS 2026Latin American Regenerative Investment Summit (Cumbre de Inversiones Regenerativas de América Latina). Be part of the movement that is regenerating the way we learn, invest, and live.Bogotá, ColombiaMay 12 - 14https://regenerativo.org/en/laris/ Find out more about our Generation-Re investment syndicate:https://gen-re.land/ Thank you to our Field Builders Circle for supporting us. Learn more hereSupport the show=======In Investing in Regenerative Agriculture and Food podcast show we talk to the pioneers in the regenerative food and agriculture space to learn more on how to put our money to work to regenerate soil, people, local communities and ecosystems while making an appropriate and fair return. Hosted by Koen van Seijen.

Men. Men. Men. - The Podcast -
Ardhi: Uwekezaji wa kweli au peer pressure tu?

Men. Men. Men. - The Podcast -

Play Episode Listen Later May 8, 2026 69:38


In this episode, we sit down with Emilian Rwejuna, Managing Director of Viwanja Tanzania, to unpack one of the biggest silent pressures facing men today. Owning land.From “kila mwanaume lazima awe na kiwanja” to WhatsApp groups pushing plots every week, is buying land truly a smart investment… or are many men just giving in to peer pressure?We dive into the reality behind land ownership in Tanzania. The gaps in knowledge, the risks people don't talk about, and the assumptions that drive rushed decisions. Emilian breaks down what men should know before buying, where most go wrong, and whether land is really the must-have asset it's made out to be.If you've ever felt the pressure to buy a plot or you're already in the game but unsure if you made the right move this conversation is for you.

FINE is a 4-Letter Word
227. Five years of Fine is a 4-Letter Word

FINE is a 4-Letter Word

Play Episode Listen Later May 7, 2026 42:23 Transcription Available


Welcome to the celebration of five years of fine is a four letter word. I'm your host, Lori Saitz, and man, what a ride it has been. Five years. I don't know that I could have said five years ago that I would expect to be still doing this show five years later. mean, man, that's like another lifetime ago.Think of everything that's happened in your life in the past five years. I mean, I had different cats, I lived in a different state. I've had so many adventures in the past five years and met so many amazing, incredible people and been through so many experiences. Someone asked me the other day, I was a guest on someone else's show, and they asked me what I was grateful for, and I said, all the incredible experiences I have gotten to experience, all the incredible adventures I've gotten to experience in my life. So grateful.You know what else I'm grateful for? Every single guest, more than 200 of them who have been on this show, and especially the first 20 who trusted me enough to give me their time and say yes to being on a brand new show. Because stats show 80 to 90 % of shows never make it past the first 20 episodes. 44 % don't even get past the first three episodes. And here we are at episode 227, five years of weekly publishing. Wow. Sure, there have been some vacation weeks like last year when I was in Tanzania and that year, Panther and I were on our month long road trip sabbatical, but average it out and we've published 45 episodes a year.When I say we, I'm referencing that this show isn't a solo effort from the people who've helped me with strategy before it even launched, specifically Donnie and Mark, to my editors Greg and Chad and Adam and team and Jennifer, who put it all together after it's recorded. I thought for this episode, we do a little review of some especially memorable moments and shows.This episode is sponsored by Zen Rabbit. Listen, we all know that no one's reading emails and those all hands meetings and Slack messages can feel a little impersonal. How do you make work feel more human? Leaders who are serious about building real trust with their teams are finding more modern and effective ways to strengthen culture, create connection and foster community. That's where I come in.Forward-thinking companies, and specifically those with new CEOs, are hiring me to produce internal podcasts, to bring leadership and employees together through insightful stories and personalized conversations, and to share information that actually helps you move your career and company forward. Think of it as your old school printed company newsletter, reinvented. I know, what a cool idea, right? If you run, work for, or know of a company that wants to upgrade communication, facilitate connections, build community, and maintain culture, let's chat. Message me at lori at zenrabbit.com.As I look ahead, I can't necessarily promise another five years, but I can promise I'll keep doing this for as long as it brings me joy. And right now, it brings me SO MUCH JOY to meet all these fantastically interesting people and hold space in my studio for them to be seen and heard and to tell their stories.Thanks for listening to Fine is a 4-Letter Word. If you enjoyed the show, please follow and share it with a friend. Leave a review on Apple Podcasts or your favorite platform to help others discover it too.Remember, you do not have to settle for FINE. You have the power to become a leader people respect and want to follow AND create a life you love. Now let's f-ing go!

Game of Crimes
246: Part 2: How He Fooled the World's Most Dangerous Cartel — DEA Undercover Secrets

Game of Crimes

Play Episode Listen Later May 6, 2026 71:53


Retired DEA Agent Chris Diaz goes deeper than any headline ever will. This isn't about tactics — it's about psychology. How do you infiltrate one of the most dangerous criminal organizations in the world? You think like them. You talk like them. You become them.Chris breaks down the exact psychological strategies he used to build trust with high-level cartel targets — how he posed as a major player with access to European drug markets, how he coordinated operations across Romania, Tanzania, Guatemala, Mexico, and Colombia, and how one wrong word could mean a deadly failure.

Teddi Tea Pod With Teddi Mellencamp
Legally Brunette Presents: ‘Til Death Do Us Part - D4VD, Ashlee Jenae & Brian Hooker

Teddi Tea Pod With Teddi Mellencamp

Play Episode Listen Later Apr 26, 2026 25:08 Transcription Available


Emily and Shane are giving updates on THREE cases that are making headlines right now… Starting with D4VD’s capital murder charge against 14-year-old Celeste Rivas Hernandez. Will prosecutors seek the death penalty? They’re also giving details on the murder of influencer Ashlee Jenae, who was found dead in Tanzania during a birthday/engagement trip with her new fiancé. Was this case inspired by Larry Rudolph? Plus, they’re diving into the disappearance of Lynette Hooker and the suspicion that her husband, Brian, is behind it all. How did she “fall off” a small boat, but leave no trace behind? What other evidence points to him?!See omnystudio.com/listener for privacy information.

Short Wave
Why a chimp 'civil war' shows how societies collapse

Short Wave

Play Episode Listen Later Apr 24, 2026 13:51


In the mid-1970s, primatologist Jane Goodall witnessed something that changed her opinion of chimpanzees forever: A four-year conflict amongst the chimpanzees she was studying in Tanzania. Chimpanzees that knew each other started killing each other. It was essentially the primate equivalent of a civil war. And now, it's happening again: Fighting within the largest known community of chimpanzees. NPR science correspondent Nate Rott helps us break down what's going on and what it could tell us about how human communities can fall apart. Read all of Nate's story here. Interested in more science? Email us your question at shortwave@npr.org.Listen to every episode of Short Wave sponsor-free and support our work at NPR by signing up for Short Wave+ at plus.npr.org/shortwave.See pcm.adswizz.com for information about our collection and use of personal data for sponsorship and to manage your podcast sponsorship preferences.NPR Privacy Policy

The Ancients
The First Tools

The Ancients

Play Episode Listen Later Apr 23, 2026 46:00


What if the first technology was just a stone?Tristan Hughes and Dr. Emma Finestone, - Curator and the Robert J. and Linnet E. Fritz Endowed Chair of Humans Origins at Cleveland Museum of Natural History - travel back over 3 million years to Africa, where early hominins began shaping stone tools that transformed survival, diet, and behaviour. From the earliest finds to the widespread tool making industry in northern Tanzania, they explore who made these tools, how they worked, and why they matter.MORERise of HumansListen on AppleListen on SpotifyOrigins of the WheelListen on AppleListen on SpotifyPresented by Tristan Hughes. Audio editor is Hannah Feodorov. The producer is Joseph Knight. The senior producer is Anne-Marie Luff.All music courtesy of Epidemic SoundsThe Ancients is a History Hit podcast.Sign up to History Hit for hundreds of hours of original documentaries, with a new release every week. Sign up at https://www.historyhit.com/subscribe. Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.